princess ed
Member
- Aug 15, 2015
- 24
- 7
sasa utachaguaje mweje 4ds wakat kuna watu wana higher qualification wa kuingia ktk competition?
hii kwel serikali ya magu ina viazi vingi na sio viraza
Duuuh!!
sasa utachaguaje mweje 4ds wakat kuna watu wana higher qualification wa kuingia ktk competition?
hii kwel serikali ya magu ina viazi vingi na sio viraza
USISHANGAE MKUUDuuuh!!
Mkuu unataka kula vichwa chap chap! Wabongo noma kwelikweli yani kwenye matatizo ndio wanakopigia diliKwa wadogo zangu mliomaliza kidato cha sita na wa kidato cha nne mnaohitaji info kuhusu vyuo vya china(kozi,ada na admission process) kwa mwaka 2016 ninaweza kuwasaidia na i can help with admission process too.tuwasiliane kupitia +8613065131363 whatsapp only.na kwa wale form six science waliokosa sifa za kujiunga na shahada foundation courses za mwaka 1 pia zipo .Karibuni huduma inatolewa bure
Mkuu kama umeweza kupost kitu JF means una smartphone au pc sasa unashindwa nini kuingia website ya NACTE na ukapata unachohitaji mkuu! Mambo mengine mnatuabisha nyie wasomi! Kijijini wenye simu za tochi waombe na nyie wa mjini wenye simu za smartphone muembe tena kuangaliziwa?Jamani mwenye link ya majina yote ayaweke hapa, ama mnisaidie kuangalia namba hizi, S1901/0028/2015,
S0218/0021/2014,
S0313/0079/2015. Asanteni.
Jamani wadogo zangu kama not found ni kwamba unachotafuta hamna yaani kama ni namba ya mtihani unatumia kusearch manake haijachaguliwa popoteWAKIANDIKA NOT FOUND WANAMANISHA NIN? KWA MLIOCHEKI
Kwanza nimtoe hofu kwamba majibu ya ualimu bado hayajatoka! pili wewe jinsi ya kucomfirm utapigiwa na chuo husika kukuulza kama uta report au ukiona wanachelewa wapigie..afu na rafiki yangu aliomba ualimu lakin haon alikochahuliwa anaona summary tu
Machame cotc jiandae na masweta yakutosha mkuu baridi lipo asee ila taaluma yake ni best ukimaliza miaka yako mi3 pale u can work anywhere..hongeraNaomba mwenyewe kujua moja ya mhusika au namba ya simu ya mkono ya chuo cha clinical offer machame mosh anipatie hapa ntashukuru sana iliniweze kukomfarm nafas yangu niliopata chuon hapo
Kaomba mwezi gani?Kuna mdogo wangu ana D masomo yote kaomba nursing certicate kibosho xul of nursing ila nikiandika not found ndo kakosa au na kuna 2nd selection au?
Mwezi wa saba mkuuKaomba mwezi gani?
Kama ni mwezi wa saba lazma isome not found kwasababu majibu hayajatoka bado.. Vuta subira siku si nyingi watatoaKuna mdogo wangu ana D masomo yote kaomba nursing certicate kibosho xul of nursing ila nikiandika not found ndo kakosa au na kuna 2nd selection au?
Angalia Alama zake ana D zote atapa nini sasa mkuu huyo kakosa Not found means hajafikisha qualification angekuwa nazo ingekuwa Found!!!! Hana cha kusubiri hapo zinatakiwa C TATUKama ni mwezi wa saba lazma isome not found kwasababu majibu hayajatoka bado.. Vuta subira siku si nyingi watatoa
Huyo kakosa ilitakiwa awe na C zote na sio D au C 3 kwa physics,biology na chemiaKuna mdogo wangu ana D masomo yote kaomba nursing certicate kibosho xul of nursing ila nikiandika not found ndo kakosa au na kuna 2nd selection au?
Hivi unazungumzia nini? Kwasababu mtu kama ana D zote na alisoma sayansi kwanini asichaguliwe? Na pia inategemeana na kama kaomba certificate.... Kwani kaomba upande upi??Angalia Alama zake ana D zote atapa nini sasa mkuu huyo kakosa Not found means hajafikisha qualification angekuwa nazo ingekuwa Found!!!! Hana cha kusubiri hapo zinatakiwa C TATU
aliomba certificate cz nliambia aweZ omba diplomaHivi unazungumzia nini? Kwasababu mtu kama ana D zote na alisoma sayansi kwanini asichaguliwe? Na pia inategemeana na kama kaomba certificate.... Kwani kaomba upande upi??