Jamani Wana JF hivi kwanini NACTE wamegeuza Mtaji wa kukusanya 20,000 za Technical Evaluation alafu wanasema hawakua na huduma hiyo na mwisho wa kufanya application ni tarehe 30 mwezi huu... sasa sielewi kwa nini wakubali kupokea hela za sisi maskini alafu waje watoe majibu hayo leo hii
jamani kweli nimeamini hakuna sector yenye hujuma kama Elimu Tanzania
Kweli masikini atabaki kua masikini na Tajari atabaki kua tajiri navyosikia siku hizi hawapokei funu tena wizarani kwa hiyo hata kufanya kazi zao kama ukaguzi wa vyuo na kupitisha mitaala inadibi wacharge hela toka kwa muhusika
jamani kweli nimeamini hakuna sector yenye hujuma kama Elimu Tanzania
Kweli masikini atabaki kua masikini na Tajari atabaki kua tajiri navyosikia siku hizi hawapokei funu tena wizarani kwa hiyo hata kufanya kazi zao kama ukaguzi wa vyuo na kupitisha mitaala inadibi wacharge hela toka kwa muhusika