kakuruvi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2009
- 770
- 256
Nilipata maneno haya toka kwa firstlady1, lakini kumbe naye ameyatoa kwenye biblia takatifu, nanukuu ''Kwa hiyo jihadharini roho zenu; mtu awaye yote asimtende mke wa ujana wake mambo ya hiana. Maana mimi nakuchukia kuachana, asema BWANA''.
Malaki 2:15, 16
Mungu ndio kabisa hapendi, hapendi jamani!! hebu tujadili mambo mnayoyafahamu yaliyosababisha watu wengi waachane ili yatusaidie kuyaepuka yasituachanishe na sisi pia. Nawasilisha..
Malaki 2:15, 16
Mungu ndio kabisa hapendi, hapendi jamani!! hebu tujadili mambo mnayoyafahamu yaliyosababisha watu wengi waachane ili yatusaidie kuyaepuka yasituachanishe na sisi pia. Nawasilisha..