Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,554
- Thread starter
- #21
Wajua maana ya ndoa? wacha matuzi bibie tuheshimiane!Wewe ni kizungurukamoto. kwanza unaishije na mchumba kama siyo uasherati aka uzinzi. Huyo nae alale tena afunge domo lake aisjaribu kukuuliza, alipashwa awe kwao kalala. Faida ya kuishi bila ndoa mtaijuitia!