Nachanganyikiwa na watoto wana jf

Bebii tuambie ni kwanini unaona kwamba utashindwa kuzaa? Maana unatuacha njia panda wana Jf.
 
We unaona ni easy?
Na nani?
Lini?
Tutaanzaanzaje yani process ngumu kweli yaani
 
Uporoto bwana na nani mfano mambo mengi ujue
ugumu unalifanya weye,hizi sarakasi hufanyika usiku baada ya mihangaiko yote sasa ukisema mambo mengi sikuelewi.Hata wafanyakazi wa usiku mfano wa makampuni ya simu/walinzi wanazaa ni kuwa na nia tu au ulitoa mimba nyingi huko shule/chuo unahisi huwezi kuzaa ?
 
asante mungu, kwanza mi nna mawazo kama yako, pili nnauwezo wa kuzaa, tatu niko tayali kukuzalisha na mwisho nipe mawasiliano yako ili utekelezaji uanze
 
Njoo ucheze na watoto wangu week end ukiwa na nafasi, watakupa kampani!
 
Bebii, sioni tatizo katika matamanio yako, ila tu unahitaji reinforcement counselling ili kukuweka sawa usije ukawa na matamanio kuzidi (mpaka ukapata vishawishi vya kuiba, au kuteka nyara weatoto); au matamanio yako yanaweza kubadilika na ukaanza na chuki kubwa na watoto kupindukia (mpaka ukaanza kuua, kudhuru watoto). Jaribu kutafuta psychologist pale UDSM, Social Welfare Institute, Muhimbili Hospital au KCMC utapata ushauri mzuri tu. All the best Bebii
 
Nawashukuruni sana wana jf kwa majibu yenu toka kwa post yangu ya kuomba msaada juu ya tatizo langu ilo ila wengi mmenishauri nizae sasa nitazaaje? Iyo process ya kuzaa from a to z kaazi kweli nifanyeje wana jf? Asanteni.
Mwanzoni nilidhani yupo serious lakini kwa post hiyo hapo juu nimegundua kuwa anachangamsha forum tu, she is not serious hata kidogo
 
Back
Top Bottom