Maruku Vanilla
Member
- Jun 14, 2010
- 63
- 42
- Thread starter
- #21
Unapiga hodi au unagonga kichwa ukutani? karibu mkuu
Nguli,
UMEPATIA.
Huwazavyo, Uonavyo na Usemavyo juu ya Uonacho Hu-SAHIHI
Unapiga hodi au unagonga kichwa ukutani? karibu mkuu
shem, katoka Bukoba huyo, si unajua wa huko huwa wana heshima zao....karibu sana Mr Vanilla
Karibu mzee wa Vanilla
karibu mtani, jisikie nyumbani. Unatumia kinywaji gani?
Karibu sana mkuu
Nguli,
UMEPATIA.
Huwazavyo, Uonavyo na Usemavyo juu ya Uonacho Hu-SAHIHI
Jamani palikuwa pazuri sana miaka hiyo! Hivi Ranch nayo ama iliishauzwa?
:frusty: Hodi hodi, ng'ong'o, ng'ong'o,.......!
Asanteni sana kwa kunipokea :thumb:
Ninaitwa Byeyombo. Ni mkulima wa vanilla kutoka Bukoba Vijijini. Ninaongoza ushirika unaoitwa Maruk Vanilla Farming and Processing. Ninafurahi sana kujiunga na jukwaa la Jamii.
Malengo na matarajio yangu ni kushiriki kikamilifu katika mijadala na kunufaika na jinsi ya kuboresha kilimo cha mazao mbadala ya biashara na kuinua kipato cha mkulima.
Asanteni tena na tena kwa kunipokea.