Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 22,052
Katika kuonyesha mwisho wa dunia umekaribia
nabiina mtume onesmo ndege amelipua bomu leo kupitia mch wa mbeya aitwaye dk tumudike
dk huyu ambae amekuja kwenye kanisa kuhubiri semina na kongamano aligeuka kichekesho leo
pale alipoamua kudilina waliomgeuka nabii onesmo na kuchuku masaa kadhaa kuhubiri neno la
mungu iwapo utamchukiza ndege na familia yake..pamoja na hilo dk huyo aliamua kwenda mbali zaid
na kumuita onesmo ndege na kusema huyu ametoka mbali sana na hastahili kuitwa nabii na mtume mtume
hata serikali awalitambui hili jina nakuamuru nabii onesmo mara m oja kupanga siku aje kumsimika kama
askofu onesmo ndege..akadaia amesikia mengi matatizo yaliopoo kanisani akasema akuna atakaeweza nguvu za mungu
na kusema yeye ndege ndio kiongozi wa yote akuna anaetakiwa kuuliza chochote baada ya kusema ndege
nanukuu
mi nawaambia kuna wach wanatumiwa kuuliza uliza ooh sadaka zimetoka ngapi accont ziiko ngapi mbona zimetolewa kiasi kadhaa zimefanya nini weweeeeeeeeeee nani aliuliza dk mch tumudike na kusema ndege akiamua ana w=uwezo wa kutojibu chochote nakusema ole wenu ..akaanza kutoa ole kadhaa watu wakiamini baada ya hapo anaanza mahubiri
akamalizia nimemaliza mahubiri watu eeeeeeehhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
kwakweli sasa mungu anarudi kamammesoma leo swala la kakobe ni kitu hiko hiko na hata huko kwa ndege tatizo ni hilo hilo maulizo ya shekeli nafikiri kutumia watu kutishia bdala yakusema neno la mungu ambalo watu wamelijia sio wakati wake tunaaga nyumban kupata uzima wamilele oinapofika mch anachukua mahubiri kuhubiri matatizo yakanisa kwenye semina si vyema maana amjui nani ametoka wapi semina ni kila mtu wala si kwa kanisa fulani sasa inaonyesha mnashindwa hata kuficha siri za kanisan mwenu na kuonyana kwenye kongamano no hiyo sio nzuri
baada ya hapo akasimama ndege na kusema mwenyekusikia amesikia akanukuuu baadhi ya maneno ya baibo nakusema hata ukeshe ufunge ujifunike magunia kama hujatii kiongozi wako ama kumkasirisha akuna baraka za aina hiyo unazoomba zinakuja
watumishi mungu awape neema ya kujua kufundisha na kuficha siri zenu
mbarikiwe
mungu alitukuze kanisa lake
nabiina mtume onesmo ndege amelipua bomu leo kupitia mch wa mbeya aitwaye dk tumudike
dk huyu ambae amekuja kwenye kanisa kuhubiri semina na kongamano aligeuka kichekesho leo
pale alipoamua kudilina waliomgeuka nabii onesmo na kuchuku masaa kadhaa kuhubiri neno la
mungu iwapo utamchukiza ndege na familia yake..pamoja na hilo dk huyo aliamua kwenda mbali zaid
na kumuita onesmo ndege na kusema huyu ametoka mbali sana na hastahili kuitwa nabii na mtume mtume
hata serikali awalitambui hili jina nakuamuru nabii onesmo mara m oja kupanga siku aje kumsimika kama
askofu onesmo ndege..akadaia amesikia mengi matatizo yaliopoo kanisani akasema akuna atakaeweza nguvu za mungu
na kusema yeye ndege ndio kiongozi wa yote akuna anaetakiwa kuuliza chochote baada ya kusema ndege
nanukuu
mi nawaambia kuna wach wanatumiwa kuuliza uliza ooh sadaka zimetoka ngapi accont ziiko ngapi mbona zimetolewa kiasi kadhaa zimefanya nini weweeeeeeeeeee nani aliuliza dk mch tumudike na kusema ndege akiamua ana w=uwezo wa kutojibu chochote nakusema ole wenu ..akaanza kutoa ole kadhaa watu wakiamini baada ya hapo anaanza mahubiri
akamalizia nimemaliza mahubiri watu eeeeeeehhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
kwakweli sasa mungu anarudi kamammesoma leo swala la kakobe ni kitu hiko hiko na hata huko kwa ndege tatizo ni hilo hilo maulizo ya shekeli nafikiri kutumia watu kutishia bdala yakusema neno la mungu ambalo watu wamelijia sio wakati wake tunaaga nyumban kupata uzima wamilele oinapofika mch anachukua mahubiri kuhubiri matatizo yakanisa kwenye semina si vyema maana amjui nani ametoka wapi semina ni kila mtu wala si kwa kanisa fulani sasa inaonyesha mnashindwa hata kuficha siri za kanisan mwenu na kuonyana kwenye kongamano no hiyo sio nzuri
baada ya hapo akasimama ndege na kusema mwenyekusikia amesikia akanukuuu baadhi ya maneno ya baibo nakusema hata ukeshe ufunge ujifunike magunia kama hujatii kiongozi wako ama kumkasirisha akuna baraka za aina hiyo unazoomba zinakuja
watumishi mungu awape neema ya kujua kufundisha na kuficha siri zenu
mbarikiwe
mungu alitukuze kanisa lake