Shinto
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 1,781
- 96
Wakuu hii quote nimeitoa kwenye gazeti moja hivi Jumamosi. Walikuwa wanafanya mahojiano na yule wakili anayedai mkewe kabakwa na Nabii na Mtume, amesema issue iligundulika baada ya mkewe kuwa na gonwa (std) lisilopona kwa miaka mitatu, baadaye akaambiwa atubu ili aweze kupona, ndipo akuvujisha siri yooooooooote! Dunia Ina Mambo!