Nabii Babu Wa Loliondo Apata TUZO la Kimataifa

Muke Ya Muzungu

JF-Expert Member
Jun 17, 2009
3,444
264
Jamani Babu wa Loliondo kumbe anaongoza kwa kuwa Nabii wa Uongo Afrika Mashariki Nzima? Wakina Mrema, na Wanasiasa wengine waliomfagilia wako wapi?
Page+12.jpg
 
kuna watu nawafahamu kabisa ambao wamepona Kisukari. Labda utapeli wenyewe ni kwa wale waliomtumia!!
 
kuna watu nawafahamu kabisa ambao wamepona Kisukari. Labda utapeli wenyewe ni kwa wale waliomtumia!!
Mkuu acha hizo wengine tumepoteza watu muhimu sana kutokana na huyu mzee. yaani siwezi hata kusimulia tena kwa hiyo hiyo kisukari waliacha dawa ya Hospital kisha walipokufa mzee akasema hakuwaambia waache dawa ya Hospital.. Sasa ponya gani ambayo bado mgonjwa ataendelea na dawa za Hospital tena baada ya muda wa mwaka na wamekufa kwa maradhi hayo hayo..Tumeuliza vipi kulikoni tunapewa jibu hata Muhimbili wagonjwa hufa! - Aliyekufa hakupona jamani..
 
Huyu babu ni hatari sana ni mbwa mwitu aliyejivika ngozi ya kondoo
ole wake na tuzo yake ya kuzimu
 
Mkuu acha hizo wengine tumepoteza watu muhimu sana kutokana na huyu mzee. yaani siwezi hata kusimulia tena kwa hiyo hiyo kisukari waliacha dawa ya Hospital kisha walipokufa mzee akasema hakuwaambia waache dawa ya Hospital.. Sasa ponya gani ambayo bado mgonjwa ataendelea na dawa za Hospital tena baada ya muda wa mwaka na wamekufa kwa maradhi hayo hayo..Tumeuliza vipi kulikoni tunapewa jibu hata Muhimbili wagonjwa hufa! - Aliyekufa hakupona jamani..

Siku yao ilifika bwana alitoa ametoa jinalake lihimidiwe!
 
Mkuu acha hizo wengine tumepoteza watu muhimu sana kutokana na huyu mzee. yaani siwezi hata kusimulia tena kwa hiyo hiyo kisukari waliacha dawa ya Hospital kisha walipokufa mzee akasema hakuwaambia waache dawa ya Hospital.. Sasa ponya gani ambayo bado mgonjwa ataendelea na dawa za Hospital tena baada ya muda wa mwaka na wamekufa kwa maradhi hayo hayo..Tumeuliza vipi kulikoni tunapewa jibu hata Muhimbili wagonjwa hufa! - Aliyekufa hakupona jamani..
Kifo hakihusiani na ubora au udhaifu wa dawa na kupona pia hakuhusiani na dawa bali kiwango cha ugonjwa, uwezo wa mwili kusharabu dawa na utayari wa mgonjwa mwenyewe kupambana na ugonjwa unaomkabili. Mahospitalini kuna Mochuwari za kazi gani kama dawa kazi yake ni kuzuia kifo? Mimi nina watu zaidi ya sita ambao walikuwa ni wagonjwa taabani wa Kisukari na wote hao hivi sasa wanadunda mitaani wakiwa na kiwango kinachohitajika cha sukari.

Hata hivyo pole kwa kuondokewa na wapendwa wako!!
 
Kifo hakihusiani na ubora ua udhaifu wa dawa na kupona pia hakuhusiani na dawa bali kiwango cha ugonjwa, uwezo wa ,mwili kusharabu dawa na utayari wa mgonjwa mwenyewe kupambana na ugonjwa unaomkabili. Mahospitali kuna Mochuwari za kazi gani kama dawa kazi yake ni kuzuia kifo? Mimi nina watu zaidi ya sita ambao walikuwa ni wagonjwa taabani wa Kisukari na wote hao hivi sasa wanadunda mitaani wakiwa na kiwango kinachohitajika cha sukari.

Hata hivyo pole kwa kuondokewa na wapendwa wako!!
Mkuu wangu hata wewe?... Mtu yeyote anayekufa kwa ugonjwa fulani ina maana hakupona ugonjwa ule. Sasa ukinambia kwamba waliokufa siku yao imefika hali wamekufa kwa ugonjwa waliofikiri wamepona baada ya kunywa dawa na babu, hapo tena inakuwa kufuru kwa Mungu . Hao jamaa zako wanaodunda hawakuwa na kisukari bali Depression ambayo ilihitaji tu imani..Ni ugonjwa mkubwa sana sasa hivi Afrika lakini bado watu hawajagundua hilo.
Inakuwaje mtu aliyeuawa ahukumiwe aliyeua ikiwa siku ya huyo mtu alokufa ilisha fika?.. Jamani hizi imani zenu za dini msiziingize ktk maswala haya tunashindwa hata mjadala.
 
Mkuu wangu hata wewe?... Mtu yeyote anayekufa kwa ugonjwa fulani ina maana hakupona ugonjwa ule. Sasa ukinambia kwamba waliokufa siku yao imefika hali wamekufa kwa ugonjwa waliofikiri wamepona baada ya kunywa dawa na babu, hapo tena inakuwa kufuru kwa Mungu . Hao jamaa zako wanaodunda hawakuwa na kisukari bali Depression ambayo ilihitaji tu imani..Ni ugonjwa mkubwa sana sasa hivi Afrika lakini bado watu hawajagundua hilo.
Inakuwaje mtu aliyeuawa ahukumiwe aliyeua ikiwa siku ya huyo mtu alokufa ilisha fika?.. Jamani hizi imani zenu za dini msiziingize ktk maswala haya tunashindwa hata mjadala.
Kwanza Mkandara mimi sijasema kwamba "siku yao ilikuwa imefika" bali hoja yangu uponaji hutegemea mambo mengi sana na siyo dawa peke yake. nakubaliana kwamba inawezekana hao ninanowafahamu mimi sukari yao ilisababishwa na "depression" lakini kuna hoja naijua hata kwa wale wanaopenda kwenda kuombewa au kupungwa mashetani, wote kuna kitu kinawasukuma wao binafsi kwenda huko.

Mimi ni mgonjwa lakini sikufunga safari kwenda Samunge kwa sababu sikuwa naiamini dawa yake, lakini kwa wale wenye kuamini walikwenda. Na lazima tukubaliane kwamba Babu hakuwa anatoa kinga ya kuzuia ugonjwa kurudia bali alikuwa anatoa "tiba' kwa wenye kuamini. Kitu pekee ambacho tangu mwanzo nilikikataa kuhusu babu ni pale alipodai kwama dawa yake inatibu magonjwa yote!!
 
Mbona watu wanakufa hospitalini? ina maana waliotutangazia madawa yanaponya nao ni waongo? Mie nafahamu mtu aliyepona kifafa. sina hakika na magonjwa mengine.
 
Mods if you are fear futa hii thread.
Mambo kama haya ndo yanafanya JF ionekane kama magamba.
Tittle na content ni tofauti kabisa.
Man! Lets talk sense here, mbona tunakuwa wase....
 
Kwanza Mkandara mimi sijasema kwamba "siku yao ilikuwa imefika" bali hoja yangu uponaji hutegemea mambo mengi sana na siyo dawa peke yake. nakubaliana kwamba inawezekana hao ninanowafahamu mimi sukari yao ilisababishwa na "depression" lakini kuna hoja naijua hata kwa wale wanaopenda kwenda kuombewa au kupungwa mashetani, wote kuna kitu kinawasukuma wao binafsi kwenda huko.

Mimi ni mgonjwa lakini sikufunga safari kwenda Samunge kwa sababu sikuwa naiamini dawa yake, lakini kwa wale wenye kuamini walikwenda. Na lazima tukubaliane kwamba Babu hakuwa anatoa kinga ya kuzuia ugonjwa kurudia bali alikuwa anatoa "tiba' kwa wenye kuamini. Kitu pekee ambacho tangu mwanzo nilikikataa kuhusu babu ni pale alipodai kwama dawa yake inatibu magonjwa yote!!
Mkuu wangu ndio maana nikasema usilete habari za imani yako ya dini ktk swala hili la kisayansi tutashindwa hata kujadili mada hii. Kisayansi tunasema tu kwamba mtu yeyote anayekufa kwa ugonjwa fulani ina maana mtu huyo hakupona ugonjwa ule hata kama alitibiwa. Hata hayo madawa tunayopewa Hospital na mtu asipone akafa ina maana dawa hiyo haikuweza kuponya ungonjwa huo ndio maana mtu huyo kafa kwa ugonjwa huo..

Sasa ukinambia pengine dawa ya babu inategemea kiwango cha sukari nitakubaliana na wewe lakini haya ya KUAMINI kwanza - Hii ni Couseling yaani mtu huyo alikuwa na matatizo ya Depression na mchezo huu wameuanza Nigeria na South Amerika miaka kibao nyuma kuhadaa watu ili kujitajirisha. Na inasemekana couseling kwa kutumia imani inafanya kazi sana kwa nchi maskini ambao maradhi haya hutokana na fikra nyingi za umaskini na kuzua magonjwa yasiweza kuonekana hata Hospital..Hivyo kumrudisha ktk imani ya dini huwa ni dawa mojawapo (couseling)

Tatizo la babu ni pale aliposema anaponyesha Kisukari, HIV, Cancer na maradhi yaliyoshindikana wakati alichokuwa akifanya ni kama kuwachota watu akili.. Hii ya Kikombe ilianza Nigeria toka miaka ya 90 wala sii kitu kigeni isipokuwa Wabongo ndio kwanza wameona hayo. Na sio kwamba siamini miti shamba kuwa ni dawa bali napinga utapeli wa watu hasa kwa kutumia jina la Yesu..Huko kwetu Ukerewe alikuwepo mganga wa mifupa (kienyeji) ambaye aliweza kuunga mfupa bila kukugusa mwili na watu walishuhudia wakiponywa hadi wachezaji wakubwa wenye majina kama Willy Mwaijibe na kadhalika na mzee yule hakutumia imani ya dini yoyote wala mizimu..ila Miti shamba tu.
 
ndugu yangu kapona cancer ilikua akatwe mguu na ulikua umeanza kunuka kabisa
 
Back
Top Bottom