laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 10,003
- 9,731
Magufuli ana uchungu na nia nzuri na hii nchi tumsapoti tuache kuwasikiliza CHADEMA ya Lowasa hawana nia njema na nchi hii wanatupoteza wako kwa maslahi binafsi hawana uchungu na Watanzania.
Kuwa specificMagufuli ana uchungu na nia nzuri na hii nchi tumsapoti tuache kuwasikiliza CHADEMA ya Lowasa hawana nia njema na nchi hii wanatupoteza wako kwa maslahi binafsi hawana uchungu na Watanzania...
Aisee unawatibua makamanda. Shauri yako.Magufuli ana uchungu na nia nzuri na hii nchi tumsapoti tuache kuwasikiliza CHADEMA ya Lowasa hawana nia njema na nchi hii wanatupoteza wako kwa maslahi binafsi hawana uchungu na Watanzania...
Wewe kwa akili yako CDM wanaweza kuchukua Nchi? Kwa uwezo gani walionao wa kupewa Nchi !watu wanakufa hospital hakuna hata dawa
swissme
Rais ni huyu hapa aliibiwa kura zake na ccmWewe kwa akili yako CDM wanaweza kuchukua Nchi? Kwa uwezo gani walionao wa kupewa Nchi !
wewe ni bendera fuata upepo ulikuwa ccm ukaamia Act sasa umerudi ccm kama wale wa ambiance.Magufuli ana uchungu na nia nzuri na hii nchi tumsapoti tuache kuwasikiliza CHADEMA ya Lowasa hawana nia njema na nchi hii wanatupoteza wako kwa maslahi binafsi hawana uchungu na Watanzania...
Dah... Sasa kama zaidi ya vijana 60,000 waliahidiwa uDC na wakanunua suti.....unategemea nini?Vijana wana msongo wa mawazo,wanaongea hovyo hovyo
Ahahahaaaaa GTMagufuli ana uchungu na nia nzuri na hii nchi tumsapoti tuache kuwasikiliza CHADEMA ya Lowasa hawana nia njema na nchi hii wanatupoteza wako kwa maslahi binafsi hawana uchungu na Watanzania...