mmh! ur so kind 2 us.let me PM u
eti you are so kind to us...................... (stupid move )
mmh! ur so kind 2 us.let me PM u
Vilaza hutashindwa kuwajua humu.
Vilaza wengi humu sijawahi ona
Pole sana, swali langu umelichukulia juu juu. Ungelitafakari na ungejijua wewe ndio kilaza mara dufu. Sasa nikufafanulie kwa mimi nikifikia stage ya kuandika abstract maana kazi ya kuandika sehemu kubwa ya ripoti imeisha au tayari nimekuwa nimeshaandika research summary ambayo nitaitumia kuandika abstract. Sasa kama unaweza kuandika abstract kwanini ushindwe kuandika ripoti. Tafakari ndugu yangu. Ingawa kama jamaa yupo tayari kusaidia watu poa tu, maana sio kila mtu ana uwezo/ au uwezo hutofautiana.Vilaza wengi humu sijawahi ona
Blessings kafungue ofisi pale nje ya Mzumbe(Moro na Dar), Open University, UDOM na CBE utapata vichwa mwanzo-mwisho. maana mi-wanafunzi ya mule yote vilaza haijui hata kuandika sentensi moja ya kiingereza ikaanyooka sijui wanapataje hizo Digrii au ndo digrii za Chupi?
Blessings ni kweli unamaanisha bure au unatania maana mimi namjua mtu anaitwa Kamalekki 0713711540 yeye ana-edit kwa page Tsh.5,000/= so ukiwa na page 120 (5,000x120=600,000/=) na anakula vichwa mwanzo-mwisho mpaka vingine anavikimbia sometimes anazima simu wiki nzima kuepusha usumbufu wa kutafutwa na "vilaza"
Blessings kafungue ofisi pale nje ya Mzumbe(Moro na Dar), Open University, UDOM na CBE utapata vichwa mwanzo-mwisho. maana mi-wanafunzi ya mule yote vilaza haijui hata kuandika sentensi moja ya kiingereza ikaanyooka sijui wanapataje hizo Digrii au ndo digrii za Chupi?
Pole sana, swali langu umelichukulia juu juu. Ungelitafakari na ungejijua wewe ndio kilaza mara dufu. Sasa nikufafanulie kwa mimi nikifikia stage ya kuandika abstract maana kazi ya kuandika sehemu kubwa ya ripoti imeisha au tayari nimekuwa nimeshaandika research summary ambayo nitaitumia kuandika abstract. Sasa kama unaweza kuandika abstract kwanini ushindwe kuandika ripoti. Tafakari ndugu yangu. Ingawa kama jamaa yupo tayari kusaidia watu poa tu, maana sio kila mtu ana uwezo/ au uwezo hutofautiana.
Ahsante mkuu. Unaonekana ubongo wako haupumui[/U][/COLOR]
Wewe ni kilaza tu.Je na huko makazini atakuwa anawsaidia?