Lastname
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 921
- 296
Katika kuelekea ukombozi nataka kuanda kutabu ambacho kitawaelezea viongozi kuanzia ngazi ya ubunge mpaka urais, kauli tata walizowahi kuzitoa, maamuzi tata waliyowahi kuyatoa, michango yenye mlengo wa ukombozi na ile isiyo na mlengo wa ukombozi wa mtanzania maskini ili vitu kama hivyo vikae katika kumbukumbu mpaka vitukuu wao waje wasome na kujua babu zao walivyokuwa. Hii itawaondolea heshima katika jamii zao na hawatakuwa na nguvu ya kujivunia tena utajiri au uongozi walionao, ni psychological torture ambayo tunaweza anza nayo.