Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
waendelee tu kuwapa haki zao ... kama vigezo na masharti vimeshindikana, wabwage manyanga
duh!! hii kali
Khaaa....we mtoto wa kiume una nini???
unitue mwana wa mwenzio..
Kuna kuandika kikekike na kiumekiume???
G.spot
Du! Nahisi kama tatizo limekukuta wewe na unatumia shost yako... Natania tu. Ila ka ndo hivyo hilo jamaa linalewa sana au linatumia viagra. La msingi mke aamue kusuka au kunyoaKuna siku nilikuwa salon, kulikuwa na mashosti 2 wanaongea, nikawa nimejibanza na wao hawakuniona . Shosti 1 alikuwa anamuhadithia mwenzake yanayomsibu, alikuwa anamwambia . nanukuu:- Yaani shosti ,mwenzangu una raha sana, mume wako huwa anasafiri sana, mimi mwenzako kila siku ikifika saa 9 ya usiku ndio naamshwa na mume wangu anataka nimpe mchezo, halafu ananifanya kwa nguvu hata kileleni huwa sifiki, imekuwa ndio tabia yake hataki mchezo mpake aamke saa 9 ya usiku na kuniamsha, mwenzio sina raha na ndoa, yaani taabu tupu mwisho wa kunukuu Maoni Yangu Baada ya kusikia malalamiko ya yule mdada nilipatwa na huzuni kubwa na machozi yalinilengalenga, kumbe hawa dada zetu msione wanameremeta kumbe kuna mijanadume mingine wanawapa mateso makali, Jamani si vizuri kumuasha mwenzako saa 9 ya usiku na kuanza kumsulubu, si ustaarabu hata kidogo, Wanaume jamani tuwe na roho za huruma, tuwe na imani na hawa viumbe
Jamani saa tisa usiku mtu ushaata kuota utajiri mmh
Kuta zingekuwa zinaongea, hizi ndoa sijui ingekuwaje.
Mie sioni Kama ni tatizo Kama ndio raha zake why not, kuna wa saa 11 asubuhi mumewangu alikua ananikera mpaka nishazowea,au ushajitayarisha unataka kwenda kazini unasikia ebu njoo nikulize kitu hapo ndio ooooh utabebeshwa nao ukitoka hapo lazima usikie njaa....
Umenikuna sana na hii post yako mkuu.Huyo mwanamke ni mvivu, mie wangu nikimuamsha usiku anafurahi kweli, anajuwa leo mzee kashikwa.
Kuna siku nilikuwa salon, kulikuwa na mashosti 2 wanaongea, nikawa nimejibanza na wao
hawakuniona . Shosti 1 alikuwa anamuhadithia mwenzake yanayomsibu, alikuwa anamwambia . nanukuu:-
Yaani shosti ,mwenzangu una raha sana, mume wako huwa anasafiri sana, mimi mwenzako
kila siku ikifika saa 9 ya usiku ndio naamshwa na mume wangu anataka nimpe mchezo, halafu ananifanya kwa nguvu hata kileleni huwa sifiki, imekuwa ndio tabia yake hataki mchezo mpake aamke saa 9 ya usiku na kuniamsha, mwenzio sina raha na ndoa, yaani taabu tupu mwisho wa kunukuu
Maoni Yangu
Baada ya kusikia malalamiko ya yule mdada nilipatwa na huzuni kubwa na machozi yalinilengalenga, kumbe hawa dada zetu msione wanameremeta kumbe kuna mijanadume mingine wanawapa mateso makali, Jamani si vizuri kumuasha mwenzako saa 9 ya usiku na kuanza kumsulubu, si ustaarabu hata kidogo, Wanaume jamani tuwe na roho za huruma, tuwe na imani na hawa viumbe