Naamini hapa ndio pa kuponea

elimumali

Senior Member
Jan 13, 2010
149
8
Hapa jamvini napaamini sana ndipo pa kupata miongozo yote, ndipo pa kuponea.

Nina ndugu yangu wa karibu sana, mjamzito ana upungufu wa damu (8.3) na yuko mwezi wa nane sasa, hivyo bado wiki nne tu ajifungue. Anatakiwa awe na 11.5 ndio salama.

Wataalam wa madawa nifahamisheni:
1. Atumie dawa gani/chakula gani ili damu yake iongezeke haraka (wiki 4)
2. Hivi sasa dawa anazotumia ni HB Tone (vidonge), juice ya rozela na matembere. Kuna mtu kanishauri atumie Hemovit. Je, ipi nzuri zaidi kati ya HB Tone na Hemovit (ya maji?
3. Vidonge na dawa ya maji ipi inafanya kazi haraka zaidi au nzuri zaidi?
4. Hivi, ni kweli Beet root kwa mja mzito ina utata kutokana na reaction yake ya kutoa sumu mwilini?

Natanguliza Shukrani.
 
Jingine, Lozi (Almond) naweza kuipata wapi? Nasikia pia inasaidia. Mzizi Mkavu, please help.
 
Japo umepotea njia ila jitahidi sana na juisi ya rozela ona namna ya kutengeneza:
JUISI YA KUONGEZA DAMU
JINSI YA KUTENGENEZA
1. CHEMSHA MAJI GLASS KUBWA 12 MPAKA YACHEMKE
2. YATOE KWENYE MOTO WEKA CHINI
3. WEKA MAJANI MEKUNDU KIGANJA KIMOJA NA NUSU
4. KAA DAKIKA 20
5. CHUJA
6. WEKA KWENYE GLASS
7.8. WEKA SUKARI KIJIKO CHA CHAI KIMOJA KAMA UNATUMIA SUKARI
9. TAYARI KWA KUNYWA.

nawakilisha.






 
Hapa jamvini napaamini sana ndipo pa kupata miongozo yote, ndipo pa kuponea.

Nina ndugu yangu wa karibu sana, mjamzito ana upungufu wa damu (8.3) na yuko mwezi wa nane sasa, hivyo bado wiki nne tu ajifungue. Anatakiwa awe na 11.5 ndio salama.

Wataalam wa madawa nifahamisheni:
1. Atumie dawa gani/chakula gani ili damu yake iongezeke haraka (wiki 4)
2. Hivi sasa dawa anazotumia ni HB Tone (vidonge), juice ya rozela na matembere. Kuna mtu kanishauri atumie Hemovit. Je, ipi nzuri zaidi kati ya HB Tone na Hemovit (ya maji?
3. Vidonge na dawa ya maji ipi inafanya kazi haraka zaidi au nzuri zaidi?
4. Hivi, ni kweli Beet root kwa mja mzito ina utata kutokana na reaction yake ya kutoa sumu mwilini?

Natanguliza Shukrani.

Juice ya rozela na matembere ndiyo suruhisho la haraka ILA KUMBUKA MATEMBELE ASILE TU KAMA MBOGA BALI CHUKUA MATEMBELE OSHA WEKA JIKONI NA MAJI KIDOGO SANA YAKICHEMKA MARA YA KWANZA TU TOA JIKONI NA KAMUA MCHUZI WAKE ANYWE.FANYA HIVYO ASUBUHI NA JIONI AU ZAIDI.Atumie Hemovit ya maji ni nzuri.Hilo tatizo lilisha mkuta my wife mwaka huu but God is good.Matembele ni faster damu kibao.
 
Juice ya rozela na matembere ndiyo suruhisho la haraka ILA KUMBUKA MATEMBELE ASILE TU KAMA MBOGA BALI CHUKUA MATEMBELE OSHA WEKA JIKONI NA MAJI KIDOGO SANA YAKICHEMKA MARA YA KWANZA TU TOA JIKONI NA KAMUA MCHUZI WAKE ANYWE.FANYA HIVYO ASUBUHI NA JIONI AU ZAIDI.Atumie Hemovit ya maji ni nzuri.Hilo tatizo lilisha mkuta my wife mwaka huu but God is good.Matembele ni faster damu kibao.


You are right broda!!!!!!!!
 
Pole sana,kwani hakupewa vidonge vya Iron?Mimi nakumbuka pia nilikuwa na damu 8 kwenye hiyo hiyo miezi,Nilipewa vidonge vya iron,nilikunywa marozera mpaka nafanyiwa C section nilikuwa na 11
 
Caution, ili rozela i-retain minerals zake including iron inapaswa isiwekwe kwenye maji ya moto yaliyokwenye metalic vessel, metalic utensils kama bakuri au sufuria ya bati au chuma yana react na active metals zilizoko kwenye rozela solution hivyo kuifanya remaining juice kuwa makapi yasiyo na nutritional value
Japo umepotea njia ila jitahidi sana na juisi ya rozela ona namna ya kutengeneza:
JUISI YA KUONGEZA DAMU
JINSI YA KUTENGENEZA
1. CHEMSHA MAJI GLASS KUBWA 12 MPAKA YACHEMKE
2. YATOE KWENYE MOTO WEKA CHINI
3. WEKA MAJANI MEKUNDU KIJANJA (UHI) KIMOJA NA NUSU
4. KAA DAKIKA 20
5. CHUJA
6. WEKA KWENYE GLASS
7. WEKA DAWA YA KIJANI KIJIKO KIMOJA CHA CHAI KULE KWENYE GLASS
8. WEKA SUKARI KIJIKO CHA CHAI KIMOJA KAMA UNATUMIA SUKARI
9. TAYARI KWA KUNYWA.

nawakilisha.






 
Japo umepotea njia ila jitahidi sana na juisi ya rozela ona namna ya kutengeneza:
JUISI YA KUONGEZA DAMU
JINSI YA KUTENGENEZA
1. CHEMSHA MAJI GLASS KUBWA 12 MPAKA YACHEMKE
2. YATOE KWENYE MOTO WEKA CHINI
3. WEKA MAJANI MEKUNDU KIGANJA KIMOJA NA NUSU
4. KAA DAKIKA 20
5. CHUJA
6. WEKA KWENYE GLASS
7.8. WEKA SUKARI KIJIKO CHA CHAI KIMOJA KAMA UNATUMIA SUKARI
9. TAYARI KWA KUNYWA.

nawakilisha.







majani mekundu ndiyo Rosela au?
 
Pole Mkuu, ukichukua ushauri uliopewa hapa na ukienda kuwaona madaktari bingwa wa akina mama utapata suluhisho kamili. Usimsahau na Mwenyezi Mungu pia.
 
Juice ya rozela na matembere ndiyo suruhisho la haraka ILA KUMBUKA MATEMBELE ASILE TU KAMA MBOGA BALI CHUKUA MATEMBELE OSHA WEKA JIKONI NA MAJI KIDOGO SANA YAKICHEMKA MARA YA KWANZA TU TOA JIKONI NA KAMUA MCHUZI WAKE ANYWE.FANYA HIVYO ASUBUHI NA JIONI AU ZAIDI.Atumie Hemovit ya maji ni nzuri.Hilo tatizo lilisha mkuta my wife mwaka huu but God is good.Matembele ni faster damu kibao.


Thanks Bakuza Nashukuru kwa maelekezo yako.
 
Pole Mkuu, ukichukua ushauri uliopewa hapa na ukienda kuwaona madaktari bingwa wa akina mama utapata suluhisho kamili. Usimsahau na Mwenyezi Mungu pia.

Asante sana, ni kweli Mungu ndio wa kwanza katika yote. Nimeamini kuwa matatizo huwaweka watu karibu na Mungu. Yaani hata kama ulimsahau, yakikukuta utakuwa naye kichwani kwako masaa yote. Thanks
 
Asanteni sana wapendwa, Bakuza, Mamndenyi, Fe lady, The Fama, Ulimakafu, Baba Collings n.k. kwa mchango wenu. Ni kweli kabisa hapa JF panafaa sana kutafuta ushauri. Licha ya kupata ushauri wa kukusaidia pia unafarijika sana. Mwita25 amini hapa pia panaweza kuitwa hospitali, kwani idea unazopata hapa zinasaidia kutibu, na Doctors pia wamo humu humu. Nawashukuru sana, na naomba muendelee hivi hivi.
 
Caution, ili rozela i-retain minerals zake including iron inapaswa isiwekwe kwenye maji ya moto yaliyokwenye metalic vessel, metalic utensils kama bakuri au sufuria ya bati au chuma yana react na active metals zilizoko kwenye rozela solution hivyo kuifanya remaining juice kuwa makapi yasiyo na nutritional value

Very useful information. Asante sana mkuu, tutakuwa makini na vyombo vya chuma.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom