Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
Kuna ushahidi uliowazi kuwa ccm haiko tayari kuja na katiba mpya. Yanayojiri sasa ni danganya toto. Nasema hivyo kwa kutumia uzoefu wangu unaotokana na mambo yafuatayo:
1. CCM imejitahidi kusambaza sumu kwa wananchi kuhusu kujivua gamba ambalo nadhani si kama wanavyosema in reality, baadala ya kuzungumzia suala la KATIBA mpya.
2. Rais, m/kiti wa CCM, siku ya mei mosi alisikika akishambulia wanaharakati et. wamejichukulia suala la katiba mpya kama ajenda yao na hawataki kuona watu wengine wanachangia au kutoa maoni yao.
3. CCM inajua kuwa Wandanganyika wengi hawana elimu na ni masikini wanaolia na njaa na hawajui nini maana ya katiba mpya na hivyo kuchukulia dhana hiyo kuwa mswada au mjadala hurudishwe kwa wanchi. Hii ina maana nyingi,
Wadau, najua tunasubiri mswada urekebishwe ili mjadala huanze tena ila nawahakikishia utarudi bila kuwa na tija wala marekebisho ya msingi kinyume na mahitaji ya Tanzania ya sasa.
Rais lazima ataendelea kuwa na nguvu kupita kiasi yaani kwenye vipengele vya msingi ikiwa ni pamoja na kuteua makada mbalimbali wa CCM na kuwa na nguvu kurekebisha baadhi ya vipengele
CCC hawana mapenzi na nchi ila wanatufanya MISUKULE ili tuendelee kuwa ngazi ya kupandia kwa maana waendelee kushikilia uchumi wetu. Nawasilisha.
1. CCM imejitahidi kusambaza sumu kwa wananchi kuhusu kujivua gamba ambalo nadhani si kama wanavyosema in reality, baadala ya kuzungumzia suala la KATIBA mpya.
2. Rais, m/kiti wa CCM, siku ya mei mosi alisikika akishambulia wanaharakati et. wamejichukulia suala la katiba mpya kama ajenda yao na hawataki kuona watu wengine wanachangia au kutoa maoni yao.
3. CCM inajua kuwa Wandanganyika wengi hawana elimu na ni masikini wanaolia na njaa na hawajui nini maana ya katiba mpya na hivyo kuchukulia dhana hiyo kuwa mswada au mjadala hurudishwe kwa wanchi. Hii ina maana nyingi,
- kwanza iwe rahisi kuchakachua
- ili wachezee na kuzunguka akili ya wasomi na wanaharakati vikiwemo vyama vya siasa kama ambavyotulishudia kwenye kuanzishwa kwa vyama vingi
- nafasi rahisi ya kurubuni na kutoa kitu kidogo wkt wa ukusanyaji maoni
Wadau, najua tunasubiri mswada urekebishwe ili mjadala huanze tena ila nawahakikishia utarudi bila kuwa na tija wala marekebisho ya msingi kinyume na mahitaji ya Tanzania ya sasa.
Rais lazima ataendelea kuwa na nguvu kupita kiasi yaani kwenye vipengele vya msingi ikiwa ni pamoja na kuteua makada mbalimbali wa CCM na kuwa na nguvu kurekebisha baadhi ya vipengele
CCC hawana mapenzi na nchi ila wanatufanya MISUKULE ili tuendelee kuwa ngazi ya kupandia kwa maana waendelee kushikilia uchumi wetu. Nawasilisha.