trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 736
- Thread starter
- #21
una kwalifkesheni.....?
Ah Preta sista wangu..
Kwalifikesheni,si hoja kabisa.. Kwa MD yangu... Sikosi kupewa deski,na PS wangu.
una kwalifkesheni.....?
We unadhani biashara ni wote wanaweza kuimudu pia na hiyo capital imekusanywa ikakusanyika na huu mfumuko wa bei!
Mkuu hii comment yako imenichekesha sana, kama ndio hivyo basi safari bado tunayo, na 'marudi' hayawezi kwisha
Acha mapema maana kadri unavyochelewa utapata msongo wa mawazi usiombe ukawa daktari tena kwenye hospitali zilizo chini ya manispaa madiwani wanakata kata vitu bila kujua umuhimu wake ukiorder gauze wao wanasema 'punguza haya matambara wanataka ya nini kila siku'
Acha mapema maana kadri unavyochelewa utapata msongo wa mawazi usiombe ukawa daktari tena kwenye hospitali zilizo chini ya manispaa madiwani wanakata kata vitu bila kujua umuhimu wake ukiorder gauze wao wanasema 'punguza haya matambara wanataka ya nini kila siku'
kweli kabisa, ingawa mie si dr lakini acha nipeleke aplikesheni huko,
Ndo matatizo ya kuwapa majukumu ya uamuzi watu wasio ujuzi, sijui wanapoyakata wanawaza nini, na ndo hao hao watakaolalamika kuwa madaktari hawahudumii vizuri....
Yaani.. We acha tu Shine..
aisee ukipata unichongee na miye angalau niwe mkata umeme
bora kuwa trafik walau utasogea kukagua lesni 10 tu nisawa na call ya siku 1.
aisee ukipata unichongee na miye angalau niwe mkata umeme
Ha ha ha! Mkuu na mie ukifika huko unikumbuke niache kuwaona neonates wakipoteza maisha kisa humidified oxygen concetraters zinashindwa kufanya kazi umeme ukikata
-Huku kwetu hatupewi mishahara minono...
-Huku kwetu hatupewi 'incentives'....
-Huku kwetu neno "WITO" linatumika kama nyundo ya kututwanga... So wengi tunalichukia ...
-Huku kwetu kazi nyingi ni za kuhatarisha usalama na uhai wetu wenyewe
Naomba kuwasilisha...
Jiajiri ndugu. Baki hapohapo ila anza kamradi kako. Unaweza kwenda huko ukaishia kuwa frustated. Kwenye mashirika wanaotanua ni maboss. Kama utakuwa boss nenda.
Kiukweli shirika la Tanesco..
Wafanyakazi wake wanapeta sana..
Na masuala ya kulipia umeme yatakuwa ndoto kwako!