Naaam Picha Kiboko hii

mluga

JF-Expert Member
Oct 8, 2010
676
215

Attachments

  • m3.jpg
    m3.jpg
    41.1 KB · Views: 694
huyo mzee ana utani sana ......kaibu wote waliosalimiana nao aliweza kuwatania kwa namna moja au nyingine...nakumbuka wakati ameingie dk Bilal alipokwenda kumsalimia huyu mzee alimvuta na kumwambia wakae wote kwenye kiti kimoja....alipoingia maalim seif huyu mzee alimtisha ngumi kisha akawa anacheka sana ..... ana utani sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom