MUREFU
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,331
- 350
Habare zenyu wanat hinker;
Ninamatumain yangu mu wazima na polen sana kwny pilikapilika za kuendelea kutafuta hiki na kile. Kama kawaida yangu nikiwa kwny kutafuta tafuta, nikiwa ninasubir panton ghafla nikiwa nimekaa nasinzia wakatokea watu wawili (njisia ya kike na yakiume) kwa muongekano wao walikuwa wanachuo na kama walikuwa wana mahusiano.
Katika ongea zao yule mwaname alikuwa anaulizia sana marafik wa kike wa yule msichana wakawa wanaongelea ndipo yule msichana akaona huyu mtu vipi mbona kila mtu anamuulizia na anaye mpenz ndipo akaamua kuropoka kwa saut WEWE VP UNAWATAKA NINI MBONA KILA MTU UNAMUULIZIA.
Je wana thinker hv mtu kumuulizia mtu ni vibaya?
Ninamatumain yangu mu wazima na polen sana kwny pilikapilika za kuendelea kutafuta hiki na kile. Kama kawaida yangu nikiwa kwny kutafuta tafuta, nikiwa ninasubir panton ghafla nikiwa nimekaa nasinzia wakatokea watu wawili (njisia ya kike na yakiume) kwa muongekano wao walikuwa wanachuo na kama walikuwa wana mahusiano.
Katika ongea zao yule mwaname alikuwa anaulizia sana marafik wa kike wa yule msichana wakawa wanaongelea ndipo yule msichana akaona huyu mtu vipi mbona kila mtu anamuulizia na anaye mpenz ndipo akaamua kuropoka kwa saut WEWE VP UNAWATAKA NINI MBONA KILA MTU UNAMUULIZIA.
Je wana thinker hv mtu kumuulizia mtu ni vibaya?