GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,278
- 6,672
Nimefanya utafiti usio rasmi nikagundua kuwa Wanaume wengi wanapokaa
kwenye siti za daladala hupenda kukaa na wanawake. Hilo ni dogo la ajabu zaidi
Hufurahi hata kama amesimama lakini akawa amebanwa na wanawake pande
zote. Yaani hata kama amebanwa husikii malalamiko yake kuwa anaumia au
vipi tofauti na ambavyo ingekuwa kwa mwanaume mwenzake.
1.Naomba wanaume wa JF mnithibitishie hili!
2.Vipi kwa wanawake na nyinyi inakuwaje upande wenu?
kwenye siti za daladala hupenda kukaa na wanawake. Hilo ni dogo la ajabu zaidi
Hufurahi hata kama amesimama lakini akawa amebanwa na wanawake pande
zote. Yaani hata kama amebanwa husikii malalamiko yake kuwa anaumia au
vipi tofauti na ambavyo ingekuwa kwa mwanaume mwenzake.
1.Naomba wanaume wa JF mnithibitishie hili!
2.Vipi kwa wanawake na nyinyi inakuwaje upande wenu?