Siku nyingi huwa nasikia malalamiko mengi kwa wadada wakisema mwanaume akiwa hivi au vile simtaki.
Haya na sisi wanaume tutoe list zetu kuhusu wanawake ambao hututaki tuhusike nao kiurafiki.
Za kwangu:
Mwanamke asiyejua kupika.
Mwanamke asiyekusalimu
Anayependa kujionyesha anajua zaidi kuliko wewe
Anayefanya makosa lakini hakubali makosa yake
Anayetaka ufanane na bwana fulani.
Nitaendelea siku zijazo.
Now you are talking........Bossmimi mwanamke msumbufu kitandani tu..........
mengine unaweza kufundishana...
but ukikuta yule ambae hataki kuelekezwa hapo basi.....
Siku nyingi huwa nasikia malalamiko mengi kwa wadada wakisema mwanaume akiwa hivi au vile simtaki.
Haya na sisi wanaume tutoe list zetu kuhusu wanawake ambao hututaki tuhusike nao kiurafiki
Za kwangu:
Mwanamke asiyejua kupika.
Mwanamke asiyekusalimu
Anayependa kujionyesha anajua zaidi kuliko wewe
Anayefanya makosa lakini hakubali makosa yake
Anayetaka ufanane na bwana fulani.
Nitaendelea siku zijazo.
Siku nyingi huwa nasikia malalamiko mengi kwa wadada wakisema mwanaume akiwa hivi au vile simtaki.
Haya na sisi wanaume tutoe list zetu kuhusu wanawake ambao hututaki tuhusike nao kiurafiki.
Za kwangu:
Mwanamke asiyejua kupika.
Mwanamke asiyekusalimu
Anayependa kujionyesha anajua zaidi kuliko wewe
Anayefanya makosa lakini hakubali makosa yake
Anayetaka ufanane na bwana fulani.
Nitaendelea siku zijazo.
Mzuanda una hasira na mlevi wewe ina maana yule wako hajaacha 2 kupombeka?binafc simpendi anaenipigia cm kila mara na anaenuka mdomo.mi mwanaume MLEVI, sitaki hata kumsikia, nitafurahi nikipata anayekojoa kitandani(kikojozi) kuliko mlevi
Siku nyingi huwa nasikia malalamiko mengi kwa wadada wakisema mwanaume akiwa hivi au vile simtaki.
Haya na sisi wanaume tutoe list zetu kuhusu wanawake ambao hututaki tuhusike nao kiurafiki.
Za kwangu:
Mwanamke asiyejua kupika.
Mwanamke asiyekusalimu
Anayependa kujionyesha anajua zaidi kuliko wewe
Anayefanya makosa lakini hakubali makosa yake
Anayetaka ufanane na bwana fulani.
Nitaendelea siku zijazo.
Yaleyale niliyosema mwanzo, wanawake wabishi wakila jambo nani kakuambia uwe mfanyakazi na mke pia?*Kwahiyo mimi natakiwa kua mfanyakazi na mke pia? *We umeanza kumsalimia vizuri hivyo naye akaacha kujibu vizuri? *Kwahiyo kama nilimkuta hachani nywele..boxer moja wiki..mlevi haswa..mgomvi bado nimwache tu?