Duh hiyo basi yaani TZ ana rasilimali kibao unaomba msaada badala ya wewe kubembelezwa ili kushare hizo resources (win-win). ndiye rais mtarajiwa huyo.......2015
Ni misaada ipi tuliopata?. Tumekuwa na shida ya umeme wa uhakika ni msaada gani tumeupata kupitia JK na wahisani. Nchi haindelezwi kwa misaada au wahisani. Hao ni wa kuchangia tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.