VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Tuna watu,viongozi na wengineo,wengi sana tunaowachukia. Wanatuibia,wanatudhulumu,wanatufunga,wanatuonea,wanatunyanyasa,wanatupiga,wanatuua na wanatudharau. Tunawajua kwa sura na majina. Tunavumilia ili kulinda utawala wa sheria. Sasa mambo ni tofauti. Tunataka tutume ujumbe kwa matendo. Tuanze kumteka nani?