Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Wana JF.
Sisi wana NCCR MAGEUZI tunajianda kumtumia rais Kikwete, barua rasmi ya kuomba kukutana nae.
Tujadiliane kuhusu rasimu ya katiba yetu.
Hii nchi ni yetu sote sio ya CCM wala Chadema wala Cuf.
Hatuwezi kuwa nyuma kwenye jambo la muhimu kwa taifa letu la amani tuliochiwa na Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.
NCCR MAGEUZI NDIYO CHAMA MAKINI NCHINI
Sisi wana NCCR MAGEUZI tunajianda kumtumia rais Kikwete, barua rasmi ya kuomba kukutana nae.
Tujadiliane kuhusu rasimu ya katiba yetu.
Hii nchi ni yetu sote sio ya CCM wala Chadema wala Cuf.
Hatuwezi kuwa nyuma kwenye jambo la muhimu kwa taifa letu la amani tuliochiwa na Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.
NCCR MAGEUZI NDIYO CHAMA MAKINI NCHINI