Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,419
- 2,270
Umekwisha kihoja....bora nenda kwenye facebookUnaweza kuwa wewe ndio mgema hapa na hao tembo wako bila kujijua mkuu!
Umekwisha kihoja....bora nenda kwenye facebookUnaweza kuwa wewe ndio mgema hapa na hao tembo wako bila kujijua mkuu!
Umekwisha kihoja....bora nenda kwenye facebook
kujikweza kuna tafsiri nyingi sijui wewe unatumia ipi hapa!
kwani unalazimishwa kusoma hayo mabandiko?
uzuri wako u mwingi wa lugha ya kuzunguka..! tofauti na chinga mwenye kupoint issue, ingawa yeye ndie kafungiwa
Unaweza kubadili jina ukajiita chinga!
Mgema akisifiwa tembo hulitia.....
Examples please of those mabandiko!
Unaweza kuwa wewe ndio mgema hapa na hao tembo wako bila kujijua mkuu!
Umekwisha kihoja....bora nenda kwenye facebook
Ni lini umetoka huko facebook?
upeo wako mdogo sana unadhani ni rahisi kiasi hicho kubadili kesi ya kutukana mtu.kasome vema makala inayolalamikiwa....mfano amedai ra aliunda serikali yake yenye nguvu nje ya serikali ya jk na ilikuwa na nguvu zaidi ya jk...anaweza kuthibitisha hilo..ulimwengu ana akili akajua hana haja ya malumbano wakati amekosea na alitakiwa alipe fidia ya sh moja na kuomba radhi.Wakipata wakili mzuri kama Lissu wanaweza kuamua kutoomba msamaha na kuigeuza hii kesi kuwa ya RA badala ya Raia Mwema na ushahidi uko belele na wanaweza kuwaita wajumbe wa kamati hiyo kama mashahidi wa kutetea walichoandika dhidi ya RA. Halafu wakamchokonoa ili tujue ni kipi alichotaka kusema bungeni na kamati ya CCM bungeni ikamkataza kufanya hivyo.
Kwa ambalo mmelikosa gazeti la Raia Mwema toka jana... nimeweka habari zake za kwanza kwenye Klhnews... natumaini watatua matatizo yao very soon...
etc
Nilidhani thread inahusu Raia Mwema kumwomba radhi RA.
Tehe tehe. Fukua makaburi mkuu.