Sanda Matuta
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 949
- 134
Kwani umeajiri mtu wa kukufanyia research hapa? Fanya research mwenyewe ......grrrrrrr
Sio wote wenye nyenzo na wigo kama wako,baadhi yetu twajifunzia mambo hapa hapa JF.
Nahisi kama umemu-offend na mimi nijiweka humo .