Bado tu hujapata? haupo siriaz wewe.
Mie wa beijing hatutawezana, after all nimeshakamata.
Haya bana tunasubiri matokeo hiyo j3.Afu wewe kama nakufahamu vile? una ID nyingine? sore lakini hili swali la kizushi tu.oooh, nko very serious................. yaani ninaposema bado moja namaanisha kuwa nimetoa nafasi moja zaidi kabla ya kufunga kupokea zaidi ili nihangaike na hizi nilizonazo wakati wa weekend, jumatatu naleta matokeo jamvini....................
Wakati anafanya hizo shuguli na tabasmu pana mdomoni halimuishi, he is enjoying his marriage life.duh!!!!! pole zake huyo mzee aliyeingia kichwakichwa huko beijing.................. yaleyaleeeeeeeeeee ya kulowekeana vitasa......................
Haya bana tunasubiri matokeo hiyo j3.Afu wewe kama nakufahamu vile? una ID nyingine? sore lakini hili swali la kizushi tu.
Wakati anafanya hizo shuguli na tabasmu pana mdomoni halimuishi, he is enjoying his marriage life.
Usijali ni siri yangu.sita-declare hapa.mambo kama haya ni ya PM.................. hebu niPM unijulishe hiyo nyingine...............
Huyo Sista Sophia vp hakufai akina Sofia siku zote wana sifa zao nyingi sana kikubwa upole na unyenyekevu.
Usijali ni siri yangu.sita-declare hapa.
Sidhani kwa Sista Sophia maana ameshamwekea tuhuma nenda pg.... itakuta, labda huyu tete a tete.Huyo Sista Sophia vp hakufai akina Sofia siku zote wana sifa zao nyingi sana kikubwa upole na unyenyekevu.
haya bwana hilo limbwata la beijing (la kichina) silu likiexpire!!!!!!!!!! mtarudi hapahapa jamvini kuomba ushauri............... mi simo...............
Mungu wangu!ivi nilikuwa wapi vile?c tumekubaliana tayari na jana nimekusamehe?leo unatafuta mchumba?mbn unanifanyia hivi?nimekukosea nn?naomba nisameheAM REAL SOORY MY SWTY POTATO,SUGAR BANANA,MY WEREVA WENEVA,MY VALENTINE,MY LOL POP,MY CHOKLET PLZ.I LOVE U
Mungu wangu!ivi nilikuwa wapi vile?c tumekubaliana tayari na jana nimekusamehe?leo unatafuta mchumba?mbn unanifanyia hivi?nimekukosea nn?naomba nisameheAM REAL SOORY MY SWTY POTATO,SUGAR BANANA,MY WEREVA WENEVA,MY VALENTINE,MY LOL POP,MY CHOKLET PLZ.I LOVE U
mmmnh!!!! u forgot ...my whatever
nilikuwa na hasira kwa jinsi alivyonifanyia bana plz niombee msamaha yapo cjamkosea