Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
CheusiMangala....."usibadili mwendo huo"
karibu jamvini!
mangala eeh....mangala oooh.....binti afrika
CheusiMangala....."usibadili mwendo huo"
karibu jamvini!
kijana naona umekumbuka zamani za kale!CheusiMangala....."usibadili mwendo huo"
karibu jamvini!
Bora kwanza ulivoamka,
Unajua, usingekuwa Mwandishi, nisingehangakia kutaka kuona vinavoonekana na visivyoonekana, sasa hebu niambie nimeangalia sana Annina?
Jamani niko serious, nasaka mchumba ..naona upweke sasa unataka kunitoa roho
Sifa
1. Awe mwanamke (sihitaji ma-BWABWA)
2. Awe tayari kwa ndoa ya kikristo (asahau kabisa mambo ya beijing)
3. Umri wa serikali na kuendelea
4. Kiburi na suala zima la tabia kwangu sio issue, nina uhakika nitaweza kmdhibiti na asifurukute
5. Elimu-yoyote (ili mradi awe trainable, nitamu-upgrade hadi anapoweza kufika)
6. Kazi -si kigezo, mi ni mwanume halisi, (sio wale anaoimba jDee kuwa kama mabinti)
Ndoa hii haitaweza kuvunjwa isipokuwaa tu kama atatoka nje ya ndoa. Makosa mengine yote yatavumiliwa na kushughulikiwa kadiri itakavyoonekana inafaa
Nitafurahi kama mwombaji atakuwa tayari kufunga ndoa mwaka huu na kuja tuishi huku majuu. Mimi ni mwanmume wa uhakika, ninaweza kuishi na familia popote hapa duniani raha mustarehe, kwa hiyo asihofu kubeba mabox
Wale nilikwishapishana katika maisha nao wanaruhusiwa kure-apply kama bado wako interested kwani safari hii nafunga pazia jumla
Mtoto mzuri pearl and other JF singles are highly encouraged to apply
Matokeo ya zoezi hili yatatolewa baada ya mashauriano na mchumba mteule (kama hatakuwa tayari kutangazwa, basi tutauchuna) .
Maombi yote yatumwe kwa private messege (PM) tu