mh kaka, hii ni soo ndg yangu
na pia ni laana kubwa katu asimkubalie na pia ajiepushe kukaa karibu naye au ktk mazingira ya kukaa pamoja ndo ataweza epuka mtihan huo, vinginevyo akijiisahau akajifanya msamaria mwema anaweza mtia mama mkwe mimba ikawa ni fedheha na aibu kubwa, kwa kuwa umeamua kutubia awe na msimamo wa kutorudia tena na pia aache kumtembelea huyo shemeji yake.
na pia ni laana kubwa katu asimkubalie na pia ajiepushe kukaa karibu naye au ktk mazingira ya kukaa pamoja ndo ataweza epuka mtihan huo, vinginevyo akijiisahau akajifanya msamaria mwema anaweza mtia mama mkwe mimba ikawa ni fedheha na aibu kubwa, kwa kuwa umeamua kutubia awe na msimamo wa kutorudia tena na pia aache kumtembelea huyo shemeji yake.