Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,844
SOMA neno la Mungu katika bilia utapata msaada wa kweli.
Soma kitabu cha Warumi.
Naweka kitabu hicho hapa ili uweze kukisoma.
....khaa, babuu si ungeweka mistari miwili mitatu tu... yaani nime scroll mpaka...! ... na wanazuoni wakija hapa kumwaga aya zao, au ma buddha na ma sikh wakija na vitabu vyao patatosha kweli?
Ngoja nikatambike madogoli mie, tawire tawire...