Jamani huu mgao utaisha lini vandugu? Shuguli zangu hutegeme umeme lakini kwa hali ilivyo naweza kuingi manzese au kwamtogole kwenye fani yangu ya zamani (ngeta)
kwetu mgao upo tena tuna ratiba mbili za kukatika umeme kwa siku, ratiba rasmi ya saa2 asbh hadi 12 jioni, au 12 jioni hadi 5 usiku. Na kuna ratiba isiyo rasmi, hapo hukatika saa 7 usiku hadi 12 asbh.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.