pomo JF-Expert Member Jun 26, 2011 267 31 Sep 22, 2011 #21 mkuu wa chuo pale st augustine(SAUT) yuko wapi atunyooshee hawa wa dada?
sinafungu JF-Expert Member Feb 13, 2010 1,524 863 Sep 22, 2011 #22 tena hao wa kuchomekea nguo ktk pindo za chupi tandika wamejaa. cha ajabu basi bora wangelikuwa wanajiangalia kwanza maumbile yao. ni kichekesho tu.
tena hao wa kuchomekea nguo ktk pindo za chupi tandika wamejaa. cha ajabu basi bora wangelikuwa wanajiangalia kwanza maumbile yao. ni kichekesho tu.
Kaunga JF-Expert Member Nov 28, 2010 12,530 13,467 Sep 22, 2011 #23 KakaKiiza said: Mimi nachukia wadada mnaovaa Skintite mnaondoa maana halisi ya mwanamke!! Click to expand... Maana halisi ya 'uanamke' ni nini?
KakaKiiza said: Mimi nachukia wadada mnaovaa Skintite mnaondoa maana halisi ya mwanamke!! Click to expand... Maana halisi ya 'uanamke' ni nini?