MWANASHERIA
Member
- Aug 20, 2010
- 84
- 11
hili pia limenishitua....... Ridhiwani akijibu hoja kwamba yeye hakuhusika kwenye kikao cha la kairo hotel, alisema hajawahi hata kufika kwenye hiyo hotel, kisha akaongeza kwamba "kahotel kenyewe kadogo, hata siioni sehemu kwenye hiyo hotel ambayo wanaweza kukaa vigogo 30 watu wasiwajue" hii jamani si inamaanisha anapafahamu? Watu wengine bwana uwezo wao wa kufikiria mdogo....... Si ajabu wliagiza na sato wa kuchoma na ndizi, haoooooooo!!!1