Tehe tehe tehe!Dhaifu at work,hicho kibabu kimeacha kutembea na mikasi mfukon nowdays? Au wamembadilishia role from mzee wa uzinduz to usher!
Angalia pia hilo zulia........hivi unaweza kukisia gharama zake hadi linatandikwa hapo chini na baadae kuondolewa???? nawaza kwa sauti tu
Mafuta ya misafara kwenda kumlaki rais akitoka kutaliii oman....hapo ndo utajua watz wengi kwanini tutaendelea kuwa maskini.
Dhaifu at work,hicho kibabu kimeacha kutembea na mikasi mfukon nowdays? Au wamembadilishia role from mzee wa uzinduz to usher!
we unataka akapokelewe na toroli?
Mbona enzi za Mkapa hamkuyasema haya?
nikifanya kauchambuzi kadogo tu ni kwamba hawa wote na wengine wasioonekana picani wameenda na magari na hii hutokea hata Rais akienda Kenya tu............................
View attachment 68742
Kumbe umeisoma eh?Kaanza kuvaa bullet proof ennh!!
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
mbona Diamond akishuka kwenye zulia jekundu pale mlimani city huwa mnashangilia?
Chadema bwana?
Kuna ishu nyingine inabidi uweke uchama pembeni mkuu, suala la misafara isiyo na msingi linakera na ni ufujaji tu wa hela. Kama umeshawahi kufanya kazi wizara nyeti serikalini utaelewa ninachokiandika.
Sio suala la ulazima sana kila kiongozi kwenda hapo, muhimu ni usalama wa Rais tu.