Habari wanaJF? Jamani naombeni msaada wenu ktk simu yangu 'nokia 3110c' kila nikiadd new account kwenye personal configuration inaandika 'memory full. Cannot add new account'. Yaani hata kufungua net inagoma kabisa, kila nikijaribu inasema 'invalid web settings'. Naombeni wenu wa hali yeyote. Asanteni.