Na hapa jee?

Lole Gwakisa

JF-Expert Member
Nov 5, 2008
4,726
2,255
020.JPG

Wakuu hamuwezi kukosea , na hapa ni wapi?
 
Hivi kumbe yale mambo ya kwenda kupigia picha barazani kwa watu mpk leo yapo.....

Mkuu kijijini hapo kila anayekwenda lazima apige picha asije kufa bure bila kuweka kumbukumbu.
Halafu jamaa hapo hawana noma kabisaaa!
Pamoja na ukweli kuwa duniani hapa hakuna sehemu yenye ulinzi mkali kama hapo.
 
Kazi ipo na ikulu zao! Sisi yetu ipo karibu na bahari Tsunami ikija bongo km ya kule kwa Yamaha na kyushu na Honshu yatakayojiri mie sijui kabsa!
 
Pennysl.......... Avenue!!! Wabongo huwezi kukosa kuwatambua si unaona vitambi; bila shaka walikuwa wanafakamia McDonald na kilaji!!
 
Pennysl.......... Avenue!!! Wabongo huwezi kukosa kuwatambua si unaona vitambi; bila shaka walikuwa wanafakamia McDonald na kilaji!!
Mkuu vitambi hivyo vinalelewa haviji siku moja, si unajua tena, posho,alawansi za kujikimu na mengineyo, fanya hima na wewe usiwaonee wivu.
 
Hapo ni Tabora, nyumba ya Mzee wa Ngwasuma, Prof. Juma Kapuya :)

Kwa nyuma, kuna lile jengo la zamani ambalo Tabora Jazz walikuwa wakipigia nyimbo zao mashuhuri kama dada Asha.

Kwetu Pazuri jamani................. Njooni hadi SIKONGE....... Mhhh, hivi nimepatia?!?!
 
aibu gani hii , hapo huna hata picha moja uliyopiga serengeti au mikumi .
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom