Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Jamani hapa ofisini kwetu, yaani kwenye institution yetu CEO amejaza watu wa kabila lake, jamaa zake, watoto wa marafiki zake, wapenzi wake, na wanawe bila kuangalia sana uwezo wao, na ni 'ngono-centric CEO i.e. womanizer' wa nguvu . Shuleni nilifundishwa kuwa mashirika ya umma yalikufa kutokana na 'undunguization' i.e. favouratism and nepotism'.
Je, dawa ya kusitisha tabia hii ya ma-CEO wengi wa Bongo ni ipi? Je, hii sio namna ya 'corruption'?
Je, dawa ya kusitisha tabia hii ya ma-CEO wengi wa Bongo ni ipi? Je, hii sio namna ya 'corruption'?