snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,708
- 23,637
mi alivosema .........nipo namrassia now.... sikuelewa ujue!asanteh sana binti Mtambuzi yani babako angekuwa na akili kama yako sijui mama ngina angeonaje raha au yale maneno ya muuza ubuyu ya kweeeli? #just sayingHere we go again! Hii syndrome ya kutamba mkipata wanaume weupe sijui mtaponaje. Mweh! Msalimie mrussia!