kubwalamaadui
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 328
- 51
sijawahi kutoswa,ila mi nimtosaji alafu cha kushangaza mie n wakawaidaaaaaa..
siri ya mafanikio n kujtambua,kujitamin na kujiamin
siri ya mafanikio n kujtambua,kujitamin na kujiamin
Hii ndio lugha gani ewe Bosi wa Mfalme Juha?sijawahi kutoswa,ila mi nimtosaji alafu cha kushangaza mie n wakawaidaaaaaa..
siri ya mafanikio n kujtambua,kujitamin na kujiamin
Hiyo ndiyo bahati?? Kama hii ni bahati basi ni bahati ya kijuhaaaa.
Unapata mambulula ndo unawashika masikio mwanamke mwenye akili zake lazima uzame ndani ya 180zake upende usipende
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Uzi wa kijuha kama huu utakuta unafika hadi page 13. MODS tuondolee hii kitu.
Endelea na bahati yako
Hatuwezi Jua...Kama Hao Unao Watosa Ni Vifaa Na Wanajitambu Na Kujiamini!!?
Basi Wewe Una Bahati Sana!
Ila Kama Ni Mazombi Mbele Kama Nyuma!!?
Ujiite Mwenye Kimavi!!
asante mkuu,
nimeshabaatika now nipo namrassia.
nipo kwa maandaliz ya wedd
sijirahsshi hata siku moja kwa mwanaume.
Here we go again! Hii syndrome ya kutamba mkipata wanaume weupe sijui mtaponaje. Mweh! Msalimie mrussia!
wivu tu.mmeshazoea kuliza mademu wenu.mie naliza watu.tena am ver selective
king'asti jamani hadi wewe.
nyie wanaume mnapenda wanawake weupe!
Sifa za kijinga enzi hizo. Wenzio tunaogopa HIV
wivu tu.mmeshazoea kuliza mademu wenu.mie naliza watu.tena am ver selective