msani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 1,801
- 1,191
wana jf,haka kamchezo sio kazuri
leo nimepewa kisa na mshikaji wangu hapa nilipopanga
mshikaji kamtokea demu hapa jirani kitambo kabla mie sijahamia na akafanikiwa kuwa na huyo demu ila baadaye mshikaji akaenda chuo,wakti nahamia hapa huyo demu alitokewa na mshikaji mwingine ambaye naye alikuwa amehamia kitambo kidogo tu,mi niliujua huu mchongo mpya maana hapo awali mi sikuwepo,huyu mshikaji mpangaji akatuambia masela kuwa kapata mtoto wa geti maeneo ya hapo karibu,siku moja wakakorofishana na huyo demu na wakti huo kuna msela wa huyo mshikaji mpangaji alikuwa ametoka mkoa kaja kwenye interview,akambembeleza huyo demu hapo huku jamaa akiwa ameondoka kwenda misele na akimwambia demu wake huyo kuwa asimkute nyumbani,mshikaji toka mkoa kabembeleza hatimaye demu kajiachia jamaa akala mzigo.
mshikaji wa kwanza ambaye yeye ni mwenyeji karudi toka chuo na kuendeleza makamuzi kama kawa,sasa leo hii jioni 19/08,braza mtu karudi toka kazini ila baadaye akaonekana kama ni mtu aliyesahau kitu kwenye gari yake,braza mtu akamuita mshikaji wa chuo na kumagiza kuchuzukua miwani na cheni na avipeleke kwahuyo demu kuwa alivisahau na akaambiwa avifiche ili shemeji yake asivione,ndipo mshikaji akagundua kuwa braza yake naye kapita kwa huyo demu ila ikaonekana baadae kuwa braza alimpata kwa bahati mbaya tu baada ya braza kumsimulia mshikaji ambaye ni mdogo wake,"eti kajiingiza mwenyewe mi nikala",braza hakujua kuwa dogo anakula,ndipo braza akamuambia hata hivyo huyu demu sina mpango naye kwani anachukuliwa na jamaa wa nyumba ya pili na akamtaja jina la huyo jamaa,leo hii usiku mshikaji mpangaji alikuwa na mshikaji wa chuo kwenye gari binafsi wakitoka kwenda matembezi ndipo walipo kutana na huyo demu kumbe alikuwa anamsubri mshikaji mpangaji wakiwa na appointment,ikabidi waende wote
hiki ndcho kisa kilichotokea huku kwetu katika uwanja wa mapenzi ya mzunguko
leo nimepewa kisa na mshikaji wangu hapa nilipopanga
mshikaji kamtokea demu hapa jirani kitambo kabla mie sijahamia na akafanikiwa kuwa na huyo demu ila baadaye mshikaji akaenda chuo,wakti nahamia hapa huyo demu alitokewa na mshikaji mwingine ambaye naye alikuwa amehamia kitambo kidogo tu,mi niliujua huu mchongo mpya maana hapo awali mi sikuwepo,huyu mshikaji mpangaji akatuambia masela kuwa kapata mtoto wa geti maeneo ya hapo karibu,siku moja wakakorofishana na huyo demu na wakti huo kuna msela wa huyo mshikaji mpangaji alikuwa ametoka mkoa kaja kwenye interview,akambembeleza huyo demu hapo huku jamaa akiwa ameondoka kwenda misele na akimwambia demu wake huyo kuwa asimkute nyumbani,mshikaji toka mkoa kabembeleza hatimaye demu kajiachia jamaa akala mzigo.
mshikaji wa kwanza ambaye yeye ni mwenyeji karudi toka chuo na kuendeleza makamuzi kama kawa,sasa leo hii jioni 19/08,braza mtu karudi toka kazini ila baadaye akaonekana kama ni mtu aliyesahau kitu kwenye gari yake,braza mtu akamuita mshikaji wa chuo na kumagiza kuchuzukua miwani na cheni na avipeleke kwahuyo demu kuwa alivisahau na akaambiwa avifiche ili shemeji yake asivione,ndipo mshikaji akagundua kuwa braza yake naye kapita kwa huyo demu ila ikaonekana baadae kuwa braza alimpata kwa bahati mbaya tu baada ya braza kumsimulia mshikaji ambaye ni mdogo wake,"eti kajiingiza mwenyewe mi nikala",braza hakujua kuwa dogo anakula,ndipo braza akamuambia hata hivyo huyu demu sina mpango naye kwani anachukuliwa na jamaa wa nyumba ya pili na akamtaja jina la huyo jamaa,leo hii usiku mshikaji mpangaji alikuwa na mshikaji wa chuo kwenye gari binafsi wakitoka kwenda matembezi ndipo walipo kutana na huyo demu kumbe alikuwa anamsubri mshikaji mpangaji wakiwa na appointment,ikabidi waende wote
hiki ndcho kisa kilichotokea huku kwetu katika uwanja wa mapenzi ya mzunguko