Tram Almasi
JF-Expert Member
- Feb 26, 2009
- 749
- 226
sema kama yamekukuta wewe tukusaidie
kwa sababu hata jina lako hapa ni tatanishi!:nerd:
Muke ya Muzungu! Au kwa kuwa yeye ni Muke ya Muzungu alishuhudia huyu dada akifanyishwa hayo? Nakumbuka kati ya miaka ya 80-90,wabelgiji waliokuwa wanapanua bandari ya Kigoma waliwafanyisha mambo hayo wanawake wengi wa kule. lakini kinachowaponza ni tamaa. Miezi miwili kwanini asiondoke na kuangalia ustaarabu mwingine?