Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
Waafrica 2mekuwa wa2 wa kujirudisha nyuma cc wenyewe.je? Unakubaliana na usemi huu....Mzungu akienda porini anaenda fanya research,Muafrika anaenda kujisaidia haja kubwa
Hayo ni mawazo hasi ambayo chanzo chake ni lack of confidence, kama wewe mwenyewe hujiamini kwamba u binadamu kamili sawa na binadamu mwingine yeyote yule kokote kule lazima udharaulike kwa sababu wewe mwenyewe unajidharau.Waafrica 2mekuwa wa2 wa kujirudisha nyuma cc wenyewe.je? Unakubaliana na usemi huu....Mzungu akienda porini anaenda fanya research,Muafrika anaenda kujisaidia haja kubwa
hiki ni kichekesho ama ni nini?sijui tuiweke ktk jukwaa lipi?
Kejeli kwa nani....mzungu au muafrica!Hii ni kejeli wala si kichekesho