CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
Ni yule Peter wa Ifakara nini........Mswisi hovyo kabisa yule
<br />kinondoni barabara kuu zamani bagamoyo kuna aparments maarufu hapa jijini,kuna mzungu anaishi kwenye zile aparments mzungu huyu anatuharibia vijana kwa offer za vitubia hufanya ukarimu mkubwa( bia tu na pengine nyama choma) kwa vijana hawa mwisho hujifanya BWABWA Kwa maelezo ya vijana hao ghafla hukugeukia mtego huu wameingia wengi nasema wengi .nasema hatakama ana permit ya makazi lakini anashughulika nanini ? wanaUsalama wa Raia mpo ? isije ikawa ni JASUSI kajatuharibia vijana wetu.tahadharini vijana hasa wale wapenda pombe za bure jitu halina address kamili atakuwaje rafikiyako na kwenda kwake huku tena umelewa ?
<br />Sir henry sisi hatumfahamu huyu mzungu na sehemu hujaielekeza vizuri,kwanini usichukue hatua na kuwajulisha polisi kuhusu huyu jamaa, watamwekea mtego na kumnasa kiulaaani hata kama hawatamfikisha mbele ya sheria huo upepo watakaomtoa utapunguza kasi yake.
<br />I smell fishy here,sir henry vp ushaliwa na huyu jamaa nini?vumilia bana hizo ajali kaziniacheni ulafi wa bwii vijana
..Si umasikini hata kidogo. Ni uvivu wao kutojishughulisha mwisho wa siku ndio wanaingia kwenye hiyo mitego acha wale matokeo ya ujinga wao. Hivi ukiwa masikini ndio unakubali kuliwa m******u?Umaskini unawafanya hao vijana wahatarishe maisha yao. Maskini utapenda kaofa kumbe hakuna cha bure duniani. Na hiki kibabu cha kizungu lazima kitakuwa kimeathirika.
<br />Ni yule Peter wa Ifakara nini........Mswisi hovyo kabisa yule