MZUNGU ana access ya siri za serikali

Nabii kwenye hili umeweka uongo mwingi sana sana .Nitajibu moja kubwa la uongo .

Hakkenburg alivyo pata nafasi ya kuwa Konsgula sijui lakini mimi Lunyungu nimefanya naye kazi kwa karibu sana na ananijua nilivyo mchungu kwa Nchi yangu na hataki kunisikia mimi. Na hivi sio Holland tena nadhani anapeta .

1.Huja kwenye mikutano ya Watanzania kwa madharau na kusema kwa mfano hamjambo wasela wa kijiweni .Watu huwa wanachukua na mimi nimesha mweleza wazi wazi baada ya watu kuitwa wasela wa kijiweni na wakaacha kumjibu kwa kuwa anaitwa Mheshimiwa na ndiyo anavyo jiita yeye mwenyewe.

2.Hakkenburg ofisi ya ukonshula iko ndani ya ofisi yake . Kusema ni gereji wewe ni muongo ila ni yadi kubwa sana anauza magari na si gereji. Na ukiingia ofisni kwake utakuwa anafanya kazi 2 za U director wa kampuni na kazi za Tanzania .

Ubaya wa hili ni kwamba ofisi iko mahali ambapo siyo pa kufikika kwa Public transport iko porini na hapa ni kazi sana kufika kwake .

Hakkenburg hana maelewano mazuri na Ubalozi kwa kuwa yeye anapesa na close ties na wanene so huwa hapendi watu wa Ubalozi wampe utaratibu japokuwa nikweli ana report kwa Mlay .Mambo makubwa kama mtu kufa nk ama mtu kupata PhD ama sherehe a watu kumaliza shule watanzania huwa wanamwalila Balozi lakini hajawahi kutokea hata siku moja .

Nakumbuka mara moja tu ametuma wawakilishi nao walikuwa ni Zoka na Mama Hyera so Watanzania wana jifania mambo yao tu .

Mlay tangia awe balozi hadi sasa hajawahi kukutana na Watanzania wa Holland kwamba anasema nao so this guy is taking advantage all the time .

Matatizo makubwa mfano kuna mtazania aliiba mizigo ya wanafunzi na kuingia nayo mitini .Issue ilikuja kwangu wakati nakaa Holland nikapeleka taarifa kwa Hakkenburg na yeye alipeleka Brussels lakini hadi sasa nakueleza jamaa yupo , Watanzania mizigo hawajapata na Ubalozi umeuchuna.

Sasa kama balozi ama ubalozi unafanya haya huyu mzungu unategemea atafanya nini kwa watanzania ? Atawalipa dharau na anawapa kweli dharau .

Nabii wewe ni nabii kwa hili ni muongo . Mtandao wa Watanzania wa Holland unaitwa Wabongonl si mali ya mtu na hakuna mtu ambaye ana u control . Mtandao ulianzishwa mwaka 1999 hata mimi sijafika Nchi hiyo na kuondoka . Nimeukuta na kuuendelea muda umeisha nikarudi nyumbani .

Kusema kuna ushirikiano na mtu mmoja wewe ni muongo . Wabongo wana Uongozi wao wa muda . Ni uongozi wa muda kwa kuwa waakaji wa muda mrefu wa Holland ni watumishi wana kazi zao so wale wanafunzi wanao kuja kusoma hapo nao ni wa muda hawawezi kutoa uogozi wa kudumu so umebakia kuwa na uongozi wa muda kwa kupena info na ku socialize pale inapobidi .

Naweza kuwataja viongozi na waanzilishi wa mtandao huu kuonyesha kwamba wew ni muongo juu mtanzania kuwazunguka Watanzania wenzake.

Watanzania wenyewe wakiambiwa wajipange wafanye mambo yao hawawezi wanaona 10 euro ni kubwa na jamaa kwa kuwa anataka ujiko anachofanya ni kusema na viongozi wale na kutoa pesa ili wakutane .

Kweli tume hoji pesa hiyo ni fungu lipi . Yeye mwenyewe alijibu na wala si mtu mwingine kwamba anazitoa kwenye makusanyo na receipt na kila kitu kinapelekwa nyumbani yaani Ubalozini . Uongo huu wa mtu kumjibia huyu mzungu ni mkubwa na uache na maswali haya yaliulizwa nikiwapo katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Utrecht Law Faculty .Go easy na data .

Watanzania wana maneno tu kutenda hapana . Huyu mzungu ana matatizo sana lakini sasa tufanyeje ? Mwaka 2005 August Mkapa aliulizwa mbele yake kwamba kwa nini asiondolewe tukawa na mzawa na balozi majibu ni ya Mkapa jamaa anajitolea sana so mwacheni aendelee ila ataweka note kwenye hand over notice kwa rais ajaye . Mkapa alisema mwacheni anajitolea mno toka mfukoni mwake na si mzungu wala Mtanzania ambaye unaye msemea hapa . Kama ulikuwepo siku ile pale Hotelini The Hague wakati Mkapa ana aga .


Jamaa huwa hatoi zaidi ya euro 1200 na hesabu huwa anapewa maana kumbuka jamaa ni mfanya biashara so kila kitu ni biashara na ndiyo huwa majibu kwamba I am not a politician but a business man . Yeye na Katibu mkuu wa pesa ni dole dole .Yeye ameshiriki hata kuandika paper ya Utendaji wa JK kwa muda wa miaka 5 na nilisha wahi kuiona . Amekuja na issue ya sticker imeanzia hazina ikaja kwake kapeta nayo .

Naomba Nabii uwe nabii kweli si uchwara .Watanzania wa Holland hawako tayari kujifanyia mambo yao na jamaa akisha fanya si kwamba wanakaa kimya hapa huleta majungu kama haya bila ya kujua kinacho endelea. Mengine siwezi kuyasema maana siyajui ila haya nataka yajulikane .
 
......................naendelea kutafakari hiyo heading ya hii thread................bado sijaona sehemu ambako imeelezwa ni kwa jinsi gani huyu mzungu ana access na siri za serikali
 
Nabii umeishia wapi na fact zako za kuelezwa na watu ambao hata hawashiriki ? Nakungoja uje hapa na ukweli .
 
Code:
[COLOR="Red"]MKAMAP: Nabii Tatizo unatumia hisia zaidi ya uhalisia [/COLOR],

BORA MIMI NITUMIAYE HISIA ZA KWELI KUTAFUTA SULUHISHO, KULIKO WEWE MWENYE KUKAA NA UHALISIA ULIOUPINDISHWA.

Code:
MKAMAP: [COLOR="Red"]Ninavyofahamu mie Viza hua haigongwi mhuri ila inaandikwa habari mhimu za msafiri na balozi Na hua inagongwa mihuri airport sasa we hizi habari za mihuri unazitoa wapi?? labda nieleweshe zaidi Viza za TZ hua zinagongwa mihuri na balozi?? na kama ndiyo wewe huoni kuna uwezekano hua zimegongwa mihuri tayari anapokabidhiwa??[/COLOR]


Ufahamu wako ni sehemu tu ya ukweli na unaweza kuwa umepindishwa. Viza au kwa kilatini carta visa, ni maandishi yatolewayo na mamlaka ya nchi fulani kwa mtu anayeomba idhini ya kuingia nchi hiyo. Mara nyingi huonyesha muda wake na sababu ya kuingia. Viza yaweza kutolewa kwa kugonga muhuri (stamped), au kwa kugundishwa (glued) ndani ya pasi au wakati mwingine kwenye kataratasi nyingine pembeni. Visa ya Tz inaweza kutolewa katika ofisi za kibalozi au konsuleti au katika maeneo ya kuingilia (points of entry) sio tu katika viwanja vya ndege, bali hata katika baadhi ya bandari na vivuko vya mipakani. .
Nasema kuwa siku zote, walioomba visa kupitia konsuleti ya Uholanzi walikuwa wanagongewa mihuri ndani ya pasi kutoka hiyo ofisi ya huyo Mdachi. Kama sasa wameanza kuweka stika (kitu ambacho sina uhakika) ni hivi karibuni. MKAMP nani mwenye hisia zaidi hapa kati yangu na wewe. Maana pengine hata una mkanganyiko wa kutofautisha ‘viza’ na hati ya ukazi (resident permit)


Code:
MKAMAP: [COLOR="Red"]Pili mapato yepi yakaguliwe?? mapato ya kukusanya fedha za VIZA?? hebu acheni vichekesho
kwani huyu jamaa pia ana machine ya kutengeneza viza za tz?? kama ndiyo basi unauhalali wakusema akaguliwe lakini kama hana machine hiyo basi unachosema kukaguliwa hakiingii mkichwa kwani kama anapelekewa idadi fulani ya viza na bei ya viza ni constant and not variable basi amount inajulikana mkaguzi tena wa nini ktk swala rahisi kama hilo???[/COLOR]

Narudia huyu jamama ndiye alikuwa anatoa viza na kupokea fedha na hakukukwa na cha mashine wala nini hapa. Ukiendelea kuwa Tomaso nitaomba toka wa rafiki zangu wa’scan’ mfano wa visa moja halafu wanitumie niimwage hapa! Unashangaa nini mbona hata ni hivi karibuni tu pasi zetu zimebadilishwa na kuwa za kisasa kidogo kwa kubadika stika iliyokwisha chapwa kwenye mashine. Siku zote Particulars zilikuwa zinaandikwa tu kwa mkono wa Afisa wa Uhamiaji. Huyu jamaa alihitaji kukaguliwa na bado anatakiwa kukaguliwa mpaka hapo atakapo kuwa si mwakilishi wetu au atakapoacha kushughulika na mapokezi ya fedha au hata kuwa na orodha ya wageni wanaozuru Tz maana zote hizo ni taarifa nyeti katika marejesho(returns) zake.


Code:
MKAMAP: [COLOR="Red"]Kuhusu kuchangia pesa ktk sherehe ebwana huyo jamaa mbona anafanya good work Sie tumeomba balozi wetu yule paleeeee ujerumani aje tu ktk siku ya TZ day bila mchango wowote sie ndio tunachanga zaidi ya miaka mnne kila mwaka anagomaaaaaa haya tuma hata mwakilishi kagomaaaaaaa ok kama ndivyo basi tuchangie basi angalau vijisenti fulani kagomaaaaaaa.

Mbaya zaidi si unajua ule ubalozi unahudumia nchi nyigi yani cheki,poland,yani nchi kibao ktk hili sakata la kubadirisha passport wanafunzi wakaomba atoke basi ofisa mmoja hapo ujerumani azunguke ktk nchi hizi achukue hizo figure print wamegomaaaaaa
Eti wanataka mtu utumie zaidi ya EURO 400 yani kama laki sita hivi uende tu pale ujerumani ukachukuliwe figure print wakati huo huo wanajua kabisa kamkopo wanakopata wanafunzi ni kiduchuuuuuu tena kukapata kwa kuandamanaaaaa na bado wanataka kateketee kwa kuchukua vidole tu sasa kwanini wasitume mtu azunguke na gharama wazisukumie serikali kama huyo mholanzi afanyavyo??????
Mind u walio ujerumani ubalozini ni watanzania na si wajerumani[/COLOR]


Sio kwa Ujerumani tu hata Ubalozi wetu uliopo Brussels,
ndio una ithibati (accreditation) ya kuhudumia Belgium, Luxembourg, Netherlands, European Union and ACP/EU. Na matatizo unayoyaongea yanafanana na ya huko pia.
Mfano, kwa siku kadhaa huyo Mtanzania ‘kiongozi’ wa Wabongo.net wa huko Uholanzi aliibuka na kutangaza kuwa watu wajiandikishe kwamba Balozi (toka Ubelgiji) alitaka kuonana nao ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kuonana na rais JK. Watu kwa heshima wakaanza kujiandikisha kwa kuwa na hamu kuonana na Balozi wao na Rais ili watoe dukuduku zao na pia kutoa ushauri wa maboresho kwa ajili ya maendeleo ya Umoja wao na Tanzania kwa ujumla. Ghafla bin vu
huyo huyo mshikaji jana anatanganza kuwa JK ameahirisha kuja Uholanzi na hivyo hata mkutano na Balozi haupo! Watu huko hawaelewi na wameonyeshwa kusikitishwa na uamuzi huo yaani tafasiri ya wengine imekuwa kwamba Balozi anawahitaji Watanzania pindi tu Mkuu wake anapokuwa anakuja. Hata hivyo ningekuwa ni mimi niko huko nisingejiandikisha in the first place maana kwa nini Balozi (au mwakilishi wake) mwenyewe asiwaalike Watanzania. Eti watu wanaalikwa tu na jamaa fulani ambaye si mtumishi wa ofisi inayotoa mwaliko au mwakilishi wao. Huyu jamaa yeye anafanya kazi na ‘Konsula’ Mdachi na ni mdhamini wa network ya Wabongo.nl na wala si kiongozi rasmi wa umoja wa Watanzania maana hamna Katiba iliyokubalika wala uchaguzi haujafanyika kwa muda mrefu sana. huko wala hakuna katiba iliyopitishwa katika umoja huo.

Ndg yangu ni kweli kuwa Balozi zetu nyingi kama zilivyo Wizara, Idara, Taasisi za Serikali na zisizo za kiserikali, vyama vya siasa na hata Misikiti, Makanisa na Mahekalu n.k vinahitaji mabadiliko makubwa ya Ki-utumishi na Ki-utoaji huduma kwa wateja wao. Lakini hii, hiyo haiwezi chukuliwa kama uhalalisho wa mtu yeyote (including this Dutch Consul) au Asasi yeyote kutumia nafasi waliyopewa ama kujinufaisha au kutoajibika apaswavyo. Kumbuka kuwa Kufacilitate uwepo wa umoja na amani miongoni mwa Watanzania waishio kwenye konsuleti yake ni sehemu ya majukumu yake. Hivyo hatuna haja ya kumshukuru sana (simply kwa sababu eti wengine ni wazembe zaidi yake) kwa kututolea mchango ambao hakika ni sehemu ya pato letu sisi Watanzania kutoka kwa wale wanaozuru nchini kwetu.


Hakimbii mtu hapa, lakini pia watu hatukai tukiperuzi kurasa za JF tu siku nzima. Utajibiwa sawia kwa wakati wangu muafaka
 
Majibu ya Nabii (N) kwa Liyungu (L)​

Code:
[COLOR="red"]L: Nabii kwenye hili umeweka uongo mwingi sana sana. Nitajibu moja kubwa la uongo.[/COLOR]

N: Lunyungu , kwa nini ujibu moja tu na siyo yote ya uongo mwingi sana sana. Ngoja tuchambue majibu yako sasa.

Code:
L: Hakkenburg alivyo pata nafasi ya kuwa Konsgula sijui lakini mimi Lunyungu nimefanya naye kazi kwa karibu sana na ananijua nilivyo mchungu kwa Nchi yangu na hataki kunisikia mimi. Na hivi siko Holland tena nadhani anapeta.


N: Una uhakika gain kuwa wengine wote waliobaki hakuna kama wewe au wa kukuzidi? Kwani wewe pekee ndiye ulipewa hati milki ya kudhibiti wakiukaji?


Code:
L: Huja kwenye mikutano ya Watanzania kwa [B]madharau na kusema kwa mfano hamjambo wasela wa kijiweni[/B].Watu huwa wanachukia na mimi nimesha mweleza wazi wazi baada ya watu kuitwa wasela wa kijiweni na wakaacha kumjibu kwa kuwa anaitwa Mheshimiwa na ndiyo anavyo jiita yeye mwenyewe.


N: Nilisema, “kweli kuna mwanaume asiye mtanzania afanyaye kazi kwa wadhifa wa Konsuli kwa jina bwana F.J.Hakkenburg. Huyu jamaa ni Mdachi. Mara kwa mara akutanapo na kundi la Watanzania hujitahidi kuongea misimu na misamiati ya mitaani haijulikani kama huwa anafanya hivyo kwa kuipenda kweli lugha ya kiswahili toka rohoni au huwa ni mbinu yake ya kuzuga kadamnasi”
Liyungu onyesha sasa uongo mwingi sana sana hapa!

Code:
L: 2. Hakkenburg ofisi ya ukonshula iko ndani ya ofisi yake. Kusema ni gereji wewe ni muongo ila ni yadi kubwa sana anauza magari na si gereji. Na ukiingia ofisni kwake utakuwa anafanya kazi 2 za U director wa kampuni na kazi za Tanzania
..

N: Nilisema, ‘HAPO HAPO OFISINI KWAKWE AMBAKO HAKIKA NI GEREJI NA DUKA KUBWA LA KUUZA NA KUNUNUA MAGARI YA FAMILIA YA VAN- VLIET (http://www.vanvliet.nl/).
Kwa vile una shida ya tafsiri nitakusaidia maana ya neno gereji (garage);
Webster's dictionary : A place for housing automobiles.
Answers.Com
1. A building or indoor space in which to park or keep a motor vehicle.
2. A commercial establishment where cars are repaired, serviced, or parked

Dictionary by Farex: Our word is a direct borrowing of French garage, which is first recorded in 1802 in the sense "place where one docks." The verb garer, from which garage was derived, originally meant "to put merchandise under shelter,"

MSN- Encarta: 1. building for motor vehicles: a building for parking or storing one or more motor vehicles
2. establishment repairing motor vehicles: an establishment that repairs and often sells motor vehicles, and sometimes sells gasoline, diesel, and oil

Code:
N: Liyungu umaskini wako wa kutokujua msamiati au matumizi yake haukuondolei kosa la kuniita mimi mwongo. Sikiliza, mimi nilisema ni gereji (mahala pa kutunza magari kama ilivyo maana namba moja katika tafsiri mbalimbali), pia nikasema ni duka la kuuza na kununua magari).  Na wewe mwenyewe ulikiri kuna yadi kubwa (ya nini? Passports?). Sasa kwa vile wewe umekariri gereji kumaanisha Karakana ya magari, bado nataka nikuthibitishie kuwa piahiyo tafsiri namba mbili inahusika sana maana hapo kwenye ofisi yake ya Van-Vliet wanauza magari mapya na yaliyokarabatiwa (reconditioned) katika karakana yao kubwa sana iliyoko hapo nyuma (chini).  Kama hujui nenda hapo ujionee, usifikiri kuwa ni wewe tu uliyefanya naye kazi kwa karibu

Kwa kweli tatizo si kuwa na ofisi ya Ubalozi/Konsuleti katika jengo lenye ofisi nyingine la hasha. Hilo mbona ni jambo la kawaida sana, shida hapa ni hii ambayo wewe mwenyewe tena umeifafanua vizuri kama ifuatavyo:-

Code:
L: Nanukuu, ‘Ubaya wa hili ni kwamba ofisi iko mahali ambapo siyo pa kufikika kwa Public transport iko porini na hapa ni kazi sana kufika kwake’


N: Ukipewa dhamana ya kuendesha konsuleti na huduma zake za kuitangaza nchi na kusadia huduma za kiuhamiaji kwa umma kwa watu wa aina mbalimbali (kama ulivyoagizwa), huwezi kuiweka ambapo ni vigumu watu kukufikia au porini kama unavyoita! DarkOrchid"]Ofisi inayoshughulika na mahusiano ya kimataifa haiwezi kupelekwa industrial Area! Wala kutengenezewa mazingira ya mithili ya Guantanamo Bay detention camp, mahala ambapo watu wengine [/COLOR]wanashindwa kufika (by the way hata kwa gari lako binafsi wengi tumezunguka mara mbili tatu maana mahala pa kuingilia nako ni somehow tricky).
Isipokuwa kama ataiondoa chapchap au kuongeza habari za Ofisi ya Konsuleti ya Tanzania, hebu bonyeza hii link (http://www.vanvliet.nl/ uone. Yaani premises yote inaanza na kukuelewesha ni aina gani ya magari yakiyoko show room (kwa kidachi) ‘Nu in onze showroom’ kwa nini pia kama Ofisi ya konsuleti ina umuhimu hapo nayo isipewe element kwenye hiyo website kama alivyozipa Jaguar, Jeep, Chevrolet, Chrysler etc? Ni kwa vigezo hivyo vyote kwamba naendelea kusema kuwa hapo ni GEREJI NA DUKA LA MAGARI ambapo Mdau mmoja wapo pia ameamua kuendesha shughuli za ukonsuleti.

Code:
L: Hakkenburg hana maelewano mazuri na Ubalozi kwa kuwa yeye anapesa na close ties na wanene so huwa hapendi watu wa Ubalozi wampe utaratibu japokuwa nikweli ana report kwa Mlay .


N: Mimi niliuliza ‘JE NI NANI AMEKUWA ANAMKAGUA KUWA MAWASILISHO YOTE ANAYOKUSANYA NDIYO KWELI ANAYOWASILISHA? KWA NINI AMEKUWA HAWAJIBIKI CHINI YA UBALOZI WA UBELGIJI?’



L: Mambo makubwa kama mtu kufa nk ama mtu kupata PhD ama sherehe a watu kumaliza shule watanzania huwa wanamwalila Balozi lakini hajawahi kutokea hata siku moja .

Nakumbuka mara moja tu ametuma wawakilishi nao walikuwa ni Zoka na Mama Hyera so Watanzania wana jifania mambo yao tu .

Mlay tangia awe balozi hadi sasa hajawahi kukutana na Watanzania wa Holland kwamba anasema nao so this guy is taking advantage all the time .

Matatizo makubwa mfano kuna mtazania aliiba mizigo ya wanafunzi na kuingia nayo mitini .Issue ilikuja kwangu wakati nakaa Holland nikapeleka taarifa kwa Hakkenburg na yeye alipeleka Brussels lakini hadi sasa nakueleza jamaa yupo , Watanzania mizigo hawajapata na Ubalozi umeuchuna.
L: Sasa kama balozi ama ubalozi unafanya haya huyu mzungu unategemea atafanya nini kwa watanzania ? Atawalipa dharau na anawapa kweli dharau.[/CODE][/COLOR]


N: Sorry, I didn’t know you as a proponent of Tu-Quoque. Yaani kwa vile ubalozi una matatizo basi matatizo ya huyu mdachi (Konsuli) si matatizo? Kila mtu na anatakiwa kuajibika kwa mujibu wa dhamana aliyopewa. Yaani kuukosoa ubalozi ni sawa lakini mtu anapomkosoa huyu Konsuli watu wanaibuka kumtetea kwa mahesabu ya zao la hasi kwa hasi eti kuwa chanya –what a logical fallacy!


L:
Code:
[COLOR="red"][COLOR="red"][CODE]L: Nabii wewe ni nabii kwa hili ni muongo . Mtandao wa Watanzania wa Holland unaitwa Wabongonl si mali ya mtu na hakuna mtu ambaye ana u control . Mtandao ulianzishwa mwaka 1999 hata mimi sijafika Nchi hiyo na kuondoka . Nimeukuta na kuuendelea muda umeisha nikarudi nyumbani .[/[/COLOR]
CODE][/COLOR]


N: Mbona kila wakati unajishuku? Hebu pitia tena unayosema hapa
Code:
Mtandao ulianzishwa mwaka 1999 hata mimi sijafika Nchi hiyo na kuondoka. Nimeukuta na kuuendelea muda umeisha nikarudi nyumbani

N: Nani kakuuliza kama bado uko Uholazi au Umeondoka? Nani kakuuliza kama mtandao ulikukuta au uliukuta au mlikutana?
Tafadhali Usifanye unabii wangu ukatimia mapema (maana ndipo Mola aliponijalia pepo karibu na rasuli, ninapewa jina la nabii nur ( نوح ) kwa stahili hiyo unataka kujionyesha mwenyewe kuwa sasa wewe ndiye huyo jamaa (msharika wa Konsuli) niliyemwongelea. Ingawa utakana hapa lakini roho yako sasa inaanza kukueleza kuwa usiwe unaandika mambo ya kujichanganya kiasi cha kujiumbua mwenyewe. Je unakumbuka **** mtu tena humu aliwahi kukuuliza kuwa mbona unaonekana kuwa kila mahala kwa wakati mmoja kama Mola? Mara Mwanza, Kenya, Dar, Uholanzi n.k Sikiliza nilivyosema

“.jamaa mmoja Mtanzania mdhamini wa Wabongonet.nl ambaye ni mwanachama mzuri wa hii net pia”
Ok mtandao unaitwa wabongo-nl, lakini ni nani anakudanganya kuwa hakuna anayeucontrol? Mbona ilikuwa ni lazima watu watume maombi yao kwako (oh samahani) kwa huyo jamaa Damian au kwa Mtajuka (technical man) kujiandikisha mpaka hivi karibuni alipotamka kuwa ok watu wanaweza kujiunga tu?
Kila mailing address, blogu, website n.k ina mtu ambaye anaweza kuwa ndiye ameifungua au amefunguliwa na mtu. Lazima kuna mtu au watu wenye madate kama ma-admin, sasa wewe unatuambia kuwa hakuna anaye i-control (sio lazima kumonitor watumiaji) wala haina mtu kwa hiyo ilijitengeneza tu toka juu na hakuna hata mwenye password; je hii ni kweli? Basi kesho tunaweza kukuta haipo kabisa hewani..


Code:
Kusema kuna ushirikiano na mtu mmoja wewe ni muongo . Wabongo wana Uongozi wao wa muda . Ni uongozi wa muda kwa kuwa waakaji wa muda mrefu wa Holland ni watumishi wana kazi zao so wale wanafunzi wanao kuja kusoma hapo nao ni wa muda hawawezi kutoa uogozi wa kudumu so umebakia kuwa na uongozi wa muda kwa kupena info na ku socialize pale inapobidi .
N: Unabii unaendelea kutimia. Unataka kutuambia kuwa UK, Ujerumani, Finland, Marekani (state mbalimbali) wao wakaaji wao wa muda mrefu si watumishi? Au kwamba hawapati wanafunzi wanaokuwa huko kwa ajili ya masomo? Ndg. Yangu kama wewe siye huyo jamaa basi kamwambie kuwa huwezi kujiita kiongozi wa wataanzania kwa miaka zadi ya kumi bila uchaguzi wowote kufanyika kukuhalalisha. Eti uongozi wa muda! Muda usio na mwisho? Watanzania kila mwaka huuliza swali ya kuwa na Katiba na kuwa na uchaguzi LAKINI huyo bwana anayeyusha tu kinamna. Hata kama ni Interim Committee. Je kuna uhalali gani huyo jamaa ndiyo jina lake pekee lionekane katika katovuti hafifu ka Konsuleti (http://www.tanzania.nl/)
eti na kuwatambulisha Watanzania kuwa umoja wao unaitwa KUMEKUCHA (sijui ni lini waliamua hivyo) na sasa angalia wamemweka mpaka Contact Person wa maisha (maana haijulikani uchaguzi ni lini)

Name : Kumekucha
Contact Person : Damian George
Address : Talingweide 40
3403 AE IJSSELSTEIN
Phone : +31(0) 614592271

wewe unasema wa muda (mpaka lini?), wewe unasema mtandao hauna mtu kwa nini contact person wa mtandao asiandikwe ‘NO BODY’ AU ‘ANYBODY’. Jamani haya ndiyo mambo ya Kibaki ya kubaka demokrasia halafu anatamka mambo haraka haraka mpaka anatamka na yasiyotamkika. Ebu katika kusanyiko lolote lijalo wewe (ah samahani) Huyo jamaa, agawe karatasi aruhusu wapendekeze majina ya viongozi wa muda na kupiga kura uone kama huyo jamaa atachaguliwa tena. Ukiwa kwenye madaraka au uongozi kwa muda mreeeeefu hata kama ni wa kujitolea watu wanakinaiwa!! Wanataka mabadiliko fulani.


Pili angaliaeni, katika hiyo web hakuna hata jina la Konsuli mwenyewe. Hatambulishwi wala Mtumishi yeyote wa ofisi hiyo? Lakini la kiongozi wa ‘ Kumekucha’ lipo hata bila katiba. Unafikiri wanaposema kuwa Mdachi huwa ndo anamwita huyo jamaa na kumalizana naye kwa nini wewe sasa unabisha na wakati unasema umesha ondoka uholanzi? Usitetee kwa stahili hiyo ya kujiumbua.
Code:
[COLOR="red"][CODE]L: Naweza kuwataja viongozi na waanzilishi wa mtandao huu kuonyesha kwamba wewe ni muongo juu mtanzania kuwazunguka Watanzania wenzake

N: Kila mtu anawajua walikuwa ni huyo Menyekiti na Katibu miaka yote. Na wanaendelea mpaka kesho. Lakini Mwenyekiti sasa amehamia Kenya, mbona Liyungu hujamkumbusha huyo Katibu aitishe uchaguzi wa muda wa kupata Mwenyekiti wa muda kwa muda usio na muda?



Code:
L: Watanzania wenyewe wakiambiwa wajipange wafanye mambo yao hawawezi wanaona 10 euro ni kubwa [B]na jamaa kwa kuwa anataka ujiko anachofanya ni kusema na viongozi wale na kutoa pesa ili wakutane [/B].

N: SASA UNACHOPINGA NI NINI NIKISEAMA HUWA ANAMALIZANA NA HUYO JAMAA. Eti nimewazunguka Watanzania wakati mwenyewe unamwaga pumba zako hadharani kuwa jamaaa ni mtafuta ujiko.
Je katika Tanzania ya leo, KUTAFUTA UJIKO ni moja ya sifa tunayohitaji katika resume ya Konsuli? Kiongozi anayetafuta cheap popularity ni wa kuogopa kama nanii!
Ndg yangu, Watu wanaojua haki zao, wako tayari kuchanga hata Euro 100 wakijua kuwa mchango huo unakwenda kutekeleza mapendeekezo yao kwa mujibu wa bajeti yao waliyoipanga pamoja kuliko kumpangia tu mtu toka juu hata kama ni Euro moja. Inaudhi sana mtu anapolazimisha kitu kwa watu wazima kama mahala pa kukutana, na tena wanapangiwa kukaa kwa masaa 2-3 tu na baadaye ni kuondolewa ukumbuni!!

Code:
[COLOR="red"]L: Kweli tume hoji pesa hiyo ni fungu lipi . Yeye mwenyewe alijibu na wala si mtu mwingine [B]kwamba anazitoa kwenye makusanyo[/B] na receipt na kila kitu kinapelekwa nyumbani yaani Ubalozini . Uongo huu wa mtu kumjibia huyu mzungu ni mkubwa na uache na maswali haya yaliulizwa nikiwapo katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Utrecht Law Faculty .Go easy na data.[/COLOR]


Wewe unazungumzia jibu la siku moja lakini, mimi nakwambia kuwa kila mwaka wakutanapo watanzania watu huwa na dukuduku juu ya hiyo mchango yake. Na wewe sasa umesema hauko Uholanzi watu wanaendelea kukutana huko na maswali yanazunguka matumizi ya hizo fedha yanaulizwa na hatoi majibu zaidi ya kuzuga na ule misamiati yake ya machizi!.


Code:
L: Watanzania wana maneno tu kutenda hapana . Huyu mzungu ana matatizo [B]sana lakini sasa tufanyeje ?[/B] Mwaka 2005 August Mkapa aliulizwa mbele yake kwamba kwa nini asiondolewe tukawa na mzawa na balozi majibu ni ya Mkapa jamaa anajitolea sana so mwacheni aendelee ila ataweka note kwenye hand over notice kwa rais ajaye . [B]Mkapa alisema mwacheni anajitolea mno toka mfukoni mwake na si mzungu wala Mtanzania ambaye unaye msemea hapa [/B]. Kama ulikuwepo siku ile pale Hotelini The Hague wakati Mkapa ana aga
.

N: NDIO Maana ulipotueleza kuwa rais anakuja tukupe maswali sirini wengine hatukuwa na siri tena, hili ni swali la wazi kama mtu hafai au ana matatizo katika uwajibikaji na mahusiano, dawa yake ni kumpumzisha mara moja. Na sasa mimi nimesha wasilisha malalamiko yangu kwa Wizara husika kupitia huu mtandao na kuwaeleza watumishi wengine kibao walio juu yake.

Code:
L: Jamaa huwa hatoi zaidi ya euro 1200 na hesabu huwa anapewa maana kumbuka jamaa ni mfanya biashara so kila kitu ni biashara na ndiyo huwa majibu kwamba I am not a politician but a business man. Yeye na Katibu mkuu wa pesa ni dole dole .Yeye ameshiriki hata kuandika paper ya Utendaji wa JK kwa muda wa miaka 5 na nilisha wahi kuiona . Amekuja na issue ya sticker imeanzia hazina ikaja kwake kapeta nayo .


N: Liyungu usijekuta unashindwa kujibu maswali mengine yanayo muhusu mfano:-
Hiyo bajeti anapitishiwa na kikao gani au na bosi gani? Kwa nini yeye awe na bajeti ya euro 1200 kwa ajili ya sherehe na bosi wake, Balozi wa Tz-Ubelgiji asipewe hata Euro moja? Je kama unakiri kuwa anakamata fedha ya makusanyo, kwa mara ya mwisho alifanyiwa ukaguzi wa nje lini na hiyo ripoti yake ilikabidhiwa kwa nani??

Code:
L: Naomba Nabii uwe nabii kweli si uchwara .Watanzania wa Holland hawako tayari kujifanyia mambo yao na jamaa akisha fanya si kwamba wanakaa kimya hapa huleta majungu kama haya bila ya kujua kinacho endelea. Mengine siwezi kuyasema maana siyajui ila haya nataka yajulikane

N: Nakushukuru kwa kuniita nabii uchwara maana hilo linanisaidia kupata unabii zaidi juu ya utu wako.
Na zaidi ya yote sasa ni kutafuta suluhisho juu ya huyu jamaa asiyestahili kutuwakilisha. Nasema kuwa badala ya kuonyesha uongo mwingi sana, nimeshuhudia kuungwa mkono na kuongezewa maelezo ya matatizo makubwa ya Consuli wetu Uholanzi kutoka kwa mtetezi wake. Nimebaini kuwa sasa ana matatizo mengi zaidi kuliko nilivyokuwa namfahamu. Napendekeza tuweke hata pertition kama ile iliyosaidia kmrejesha nyumbani mzee wa US!
 
Nabii
Salaam mkuu
Mimi nasoma na nashindwa kuelewa shida yako ni nini hasa. Shida yako ni mtandao wa wabongonl ama shida yako ni Hakkenburg kuwa konsula ama shida yako mahusiano ya uongozi wa muda wa wabongonl na Konsula then kuleta habari kwa Watanzania ama shida yako ni bajeti ya ofisi ya Konsula ?

Maana ukilia na na Konsula unapoteza muda majibu ya yeye kuondolewa nimesha kupatia .

Kumbuka mtandao wa Wabongonl haumlazimishi mtu kujiunga na kwa taarifa yako narudia tena it was and it is still a social networking . Hakuna strong instrument nyingine Holland yaweza kuwaunganisha Watanzania Holland . Sababu nimesema .It was meant kwa wanafunzi na baadaye wakingia wale wanao kaa hapo . Kila kitu kina hitaji mwanzilishi na kiongozi wake na una hiari kujiunga ama ku drop out .

Look here leo unaandika haka JF unataka kujua why JF is here na namna inavyo kazi nk ? Hapa ni huru kuja ama kuto kuja . Watu wanataka kupeana taarifa na wana namna yao ya kuishi kwa muda I think you need to think twice na ueleze kwenye forum shida yako ni nini hasa.

Kwa kawaida ama traditional Mtandao wa wabongonl ni social networking na unajulikana kote haujawa registered na hauhitaji commitment ya ain hii . Ni social club kuingia ni bure na hauna masharti. Ila sharti moja kubwa you cannot get in hadi upitie kwa moderators wake wako kama 4.Ulitaka nini sasa wewe .

Again balozo hana watu wala konsula ila wanajua network ya wabongonl with a very simple name na kila mahala kuna pa kuanzia .No one is sponsoring mtandao kwanza ukiangalia hii ni yahoo group e-mailing list .Where the sponsorship comes from ? Sponsoring what ?

Habari toka ubalozini kuja kwa Watanzania wa Holland kwa akili yako ya unabii ulitaka ziende wapi ?Club ya saigon kwa mfano ina usajili ? Unadhani ni kila club yahitaji usajili ? Haya ni mambo ya hiari ambayo hayana ufisadi .

Bado hujasema unaumwa na kuumizwa na kitu na huu mtandao .Kama wewe huwezi kuiandikisha kwa kumuona Balozi ingalikuwa ni wewe na Ubalozi hauna tool ya kutumia kuwapa Watanzania wa Holland habari so wanatumia wabongonl what is the problem with that ? Endelea kuwa Nabii lakini unachonga story sijui kwa sababu gani .

Now I have told you why Ubalozi unapitishia habari huko kwa wabongonl na uongozi wao wa muda .

Hakuna anaye fanya kazi na Konsula katika wote unao wataja wote ni ma professionals na kazi zao ila wana social networking.

Balozi kaanzisha umoja akataka kuusajili Brussels unadhani nani katika wanafunzia ambao wanakaa miezi 9 anaweza kuacha shule yake ama hata wafanya kazi wakaenda eti kumsikiliza Balozi anaanzisha umoja huko Brussels ?Haiwezekani watu wana maisha yao na umoja wa maana ni ule uko karibu nao na ile itakia kuwa Club na ina wanachama zaidi ya 300 kwa taarifa na najua na wewe ni mmoja wao.

Balozo kavunja safari watu wamesikitika mbona hujasema jamaa kumwandikia barua barua na kumweleza masikitiko ?

Ndugu wacha majungu JF ina watu wakali hapa wanajua mambo .Malalamiko yako ya pesa za Konsuleti kwanza hujui ni kiasi gani na huwezi ukazisemea kabisa huna data utabaki kusikia . Mimi nina data nzito na bado nadhani he is right kufanya hayo maana mimi na w ewe hatuwezi kumpunguzia lolote kwa serikali ipo na inamsikiliza kuliko mimi na wewe tunavyo sikiliza .Kelele zako juu ya huyu jamaa na mambo yake unazianza leo lakini sisi tumeanza zamani na sasa tumeamua kukaa kimya si kwamba tunakubal ila hatuna namna.
 
ndiyo Nabii
Nimekuja tena bada ya kuona kipengele cha kimoja . Umoja lazima uwe na contact na umoja huo contact person ni huyo jamaa bado mimi sijaona ubaya wowote . Hapa JF contact person ambaye anajulikana ni Invisible na moderators wake .Tukiwa ama akiwa anadhani kuna namna ya kuwaambia wengine kupitia vyombo vingine hawawezi kuchukua taarifa za ama majina ya wana JF.

Kumekucha.com ni mtandao ambao ulikuwa designed for Watanzania wale ambao walikuwa na moyo wa kuendeleza umoja na kupeana habari . Ndiyo waka na proposal ya kuwa na mtandao uitwao kumekucha. Again for something to happen need a commitment . Kwa tabia za watanzania ni waongeaji kama hivi lakini you got no idea ugumu wa kuendesha mambo haya .

All in all napenda kukuhakikisha kwamba hata majuzi walikwua na mkutano wa Uhuru, Nyerere day no raised a question juu ya Katiba na uongozi . Hivi mtu anakaa Holand miezi 9 anaondoka for good na hii nimesha sema ni Club ambayo ufanyaji wake wa kazi uko waz kabisa hauhitaji pesa ya mtu kuwa mchango wa uanachama , uombe katiba uitengeneze kwa ki dutch , uilipie then mambo kibao yafuate nani ana mda huo ?

Bado tueleze uoga wako na grudges zako against huu mtandao na kwa nini unadhani unahitaji Katiba kwa malengo yapi.Otherwise kwa huyu Consular nasema wewe si wa Kwanza kulalamika watu wamesha mweleza hata Mkapa uso kwa uso akauchuna .

All the best na sisi tunangoja kuona mabadiliko baada ya lalamo zako .

Tumia lugha kidogo ya ustaraabu wacha kuonyesha chuki una miss point ndiyo maana unaleta info kibao ambazo haziwezi kukusaidia kujenga hoja yako.
 
mkamap
naona hii imekuwa another "debate"..........unnecessary one!!!.........halafu wanaanza kuumbuana............

back to mada
1. hivi huyu mzungu ana access na siri za serikali kwa kugonga mihuri ya visa!!!!????..............HOW is this Mzungu accessing our Government Secrets...........

2. kama alivyosema Nabii ya kwamba anaweza kutuwekea a scanned visa anayotoa huyo mdachi...........na atuwekee ili tujue kuwa ni kweli anatoa visa........ili tuweze kujenga hoja ya kuwa mapato yake yanadhibitiwa vipi

.................mpaka sasa hivi nafikiri kichwa cha mada kinatumika tu ili ku-draw attention za watu wakati yanayosemwa hayaendani na mada bali.........mengi yanahusu watu binafsi wa huko Holland
 
Eeerh, mmh. Katika kutumia kamusi, nimepata maana kidogo ya kazi zifanyikazo. So badala ya kugombana, labda tuangalie kazi zinazofanywa na Consular halafu tuone nani anamlaumu nani kivipi;

http://www.tanzania.nl/content.htm


Welkom
Tuliho

Welkom op de website van het Consulaat van de Verenigde Republiek Tanzania in Nederland.
Karibu kwenye nanihii.......

De United Republic of Tanzania wordt in Nederland vertegenwoordigd door de Ambassade van Tanzania in België en het Consulaat in Nederland.

The United Rep of Bongo is represetned in NL by the embassy in Belgium and Consulate in the Netherlands

Het Consulaat heeft de volgende hoofdtaken:
The Consulate has the following tasks
* de verstrekking van visa aan hen die naar Tanzania reizen
Kutoa visa kwa wanaosafiri kwenda bongo....
* de uitgifte en verlenging van reisdocumenten
Handing out and extending travel docs......
* de behartiging van de economische en zakelijke belangen van Tanzania
Something to do with Economic and business interests of Tanzania...sijui showing some love??
* de bevordering van sociale en culturele contacten tussen Tanzania en Nederland
Sijui kufanya nini kati mambo ya jamii na utamaduni kati ya Tanzania na Uholanzi......
* de verlening van consulaire steun aan personen met de Tanzaniaanse nationaliteit in Nederland
Kutoa misaada ya Consulate kwa waTanzania waishio Uholanzi.....

Onder de economische belangenbehartiging is de bevordering van het toerisme begrepen. De sociale en culturele contacten omvatten de notie en bevordering van ontwikkelingssamenwerking, ook op kleinschalig niveau.

Some jabbajabba dodoo going over my head.......

In dit kader verleent het Consulaat in beginsel de volgende diensten:
Sijui Kadampinzani anasaidia Consulate shughuli zifuatazo.....
* de verstrekking van gewone visa (zie onder "Visa")
Kutoa visa...Angalia kisehemu chini ya 'visa'
* het geven van daarmee samenhangende reis- en toeristische informatie (zie onder "Landeninformatie")
Kutoa habari ziambatanazo na mambo ya safari na utaliii.......
* de uitgifte en verlenging van reisdocumenten voor Tanzanianen in Nederland (zie onder "Watanzania")
Hapa ni Patamu. Kutoa pasi au vibali vya safari kwa waTanzania waishio Uholanzi. Lakini mwishoni inasema, angalia chini (link) ya 'waTanzania', ukienda sehemu hiyo, wanasema nenda Brussels kama wewe ni mTanzania.......
* ondersteuning van de Tanzaniaanse gemeenschap in Nederland (zie onder "Watanzania")
Kusaidia/support jumuia ya waTanzania....angalia chini (au link) ya 'waTanzania'.....
* het verstrekken van zakelijke informatie voor transacties met of investeringen in Tanzania
Kutoa habari ya kibiashara au uwekezaji Tanzania........
* het steunen van initiatieven op het gebied van ontwikkelingssamenwerking (zie onder "Samenwerking")
Kupiga tafu katika mambo ya maendeleo ya pamoja......hehee. Something to do with development in bongo.....
* het faciliteren van televisie- en filmproducties die bijdragen aan de bekendheid van Tanzania in Nederland (zie ook onder "Overige vergunningen")
Kusaidia kupromo Tanzania kwa njia ya kideo na tv progammes hapo Uholandi.....mambo ya Kingwendu family sijui??

* de introductie van Nederlandse bedrijven, instellingen of particulieren in Tanzania bij overheidslichamen (zie onder "Overige documenten")
Kusaidia makampuni ya kidachi ili yajue nani kumpa mshiko hapo bongo ili mambo yawe tambarare aka mswanoo katika biashara.....
* de afgifte van schriftelijke verklaringen (zie onder "Overige documenten")
Kutoa sijui declarations za maandishi....angalia hapo kwenye link ya documenten.......


hapo hawajaandika access za siri za serikali...sasa sijui GT anatest zali??
 
Ogah
hata mie naona kichwa cha maada ni geresha tu

Ila nilivyojitahidi kuelewa maudhuhi ya waandishi si kweli wanalaumu mholazi kuwa consula Bali kuna baadhi ya watanzania wanafaidika na kuwepo kwa mholanzi na wengine hawafaidiki sasa hapo ndipo beef linapoanza the better soln ni kumuondoa ili wote watoke suluhu ,hapa wabongo ndipo hua nawapenda yani
loss-loss Big yes win-null Big no
Am sorry Nabii kama mtazamo wangu ni ndivyo sivyo

Nabii mimi ni tomasso naomba uweke hiyo viza hapa ,
ila kama ni muhuri ndio viza duuuuuuu si jui itakuwa unafanana vipi hebu niwekee hiyo viza nitoe ushamba .

Nabii viza na resident kadi nazifahamu isipokuwa hiyo viza ya mhuri ila najua kuna mhuri unagongwa kua umeingia ama umetoka .
 
labda niseme hivi,

- awali kulikuwapo na visa
za muhuri. hii viza ilikuwa muhuri mkubwa unapigwa
kwenye page kisha maeneo yanayohusika yanajazwa kwa
mkono kwa mfano, muda viza, tarehe ya kutolewa
balozi iliyotowa viza nk. hata hivyo mfumo huu wa
viza nadhani sasa umepitwa na wakati na balozi nyingi
zinatoa viza za kubandika (sina hakika kama balozi zote
za tanzania zinatoa viza za kubandika)

- kawaida kila mwaka wakaguzi wa mahesabu ya serikali
wanazunguka balozi zote kupitia mahesabu za balozi hizo
pamoja na mapato ya viza. sasa kama hao wakaguzi hawapiti kwenye
hiyo ofisi ya uholanzi au hiyo ofisi haikabidhi mahesabu yake
kunakohusika basi hilo ni tatizo na ni vyema likashughulikiwa

- shughuli zinazofanywa na huyo mholanzi si lazima zifanywe na
mtanzania.

- hili la access na siri za serikali nadhani ni shutuma tu
na sidhani kama zinaukweli wowote.

- ni vyema kama malalamiko ya nabii yamepelekwa kunakohusika kama
mkuu mwawado alivyoshauri na naamini wahusika watafuatilia.

- hilo la bifu baina ya wakuu wa huko uholanzi naona kama nalo limejitokeza saana tu, na inapofika hapo kafara inabidi nikae pembeni kwani sina la kuchangia
 
Kafara na wengine nadhani michango yenu imekuwa na maana sana na nadhani watu wajifunze kwamba hata kama JF is where wedare to talk wajue watu wana akili si kila kitu ukisema basi wanaibuka nacho nampa pole sana huyu Nabii kwa habari yake hii na nashangaa anampiga ambaye anajitolea kwa kiasi kikubwa kuwakutanisha Watanzania kwa hali na mali . Nabii najua huyu jamaa unatoka naye mkoa mmoja huku Tanzania beef yenu inaanzia wapi .

Kwa kuwa malalamiko yako na shutuma yamekuwa too personal na kwa kuwa wewe nakufahamu na Damian namfahamu nitalisaidia kumbi hili kumjua Damian na kazi zake .

Kwanza Damian ni mtumishii yaani kaajiliwa ana kazi yake ambayo ni professional wewe unajua vyema maana huko Utrecht mnakaa wote na yeye anafanya kazi Amsterdam kwenye kampuni moja .Hili huwezi kulikata sote tunalijua.

Damian amekuwa anatumia muda wake na gari hata kututembelea wakati nasoma pale ISS na kutupa habari za Holland. Kwa mara ya kwanza nimekutana na huyu jamaa alikuwa ana lalamika Watanzania kuto jituma kufanya mambo yao .

Kama ulikuwa hujui Mtajuka , Damian na wengine kama Joy,Wambura walikaa vikao kuanzia Amsterdam kwa jamaa mmoja anaitwa David hadi The Hague kwa Mtajuka wakiandika Katiba ili tuondoke kwenye networking na kuwa umoja hasa wa Watanzania na tuachane na neno Wabongo ili umoja uweze kuafanya mambo makubwa zaidi ya kukutana na kujuana na kutawanyika.

Nabii unayajua haya maana uko Holland sasa unamalizia masomo yako na wewe kila mara uko Damian. The man is open na husema pasipo kumuonea mtu huruma . Juhudi za Damian na Mtajuka kuujenga umoja zilikwamishwa na watu kutojituma . Katiba ikatengenezwa kama ikawapo ndipo wakataka kusajili .

Hakuna mtu ukiwemo wewe Nabii aliyetoa mchango wa kwenda kufanya usajili wa Umoja wa Watanzania ambao ulikuwa bado hawajapata jina .Wakaamua kwa busara kabisa kumfuata Consul ili aweze kusaidia kuujenga umoja wa Watanzania maana walidhani ni moja ya majumu yake .

Consul alikataa na akasema kwamba kama wanataka Umoja basi wawe chini yake . Watu walikataa na Damian akasema hawataki kuwekwa chini ya mtu ila yeye achangie tu gharama za kusajili kikundi which was like 300 euro plus . Katika hali ya kawaida kama huyu jamaa na Mtajuka wangalikuwa wana ajenda ya siri hawa wanafanya kazi na kipato chao wanaweza kusajili na kuomba watu waingie kwenye umoja kwa pesa. Lakini walikisndwa kukubali kuwa chini ya jamaa na wakarudi wakaandika kwa uwazi juu ya ugumu . Si mimi wala wewe tulisema lolote . Mimi kozi yangu ISS ilikuwa ya muda na kuondoka na umoja ulikuwa wa watu wa Holland.

Baada ya hapo Damian alikuja tena akatueleza maongezi yao na Consul na baadaye kamati ambayo ilikuwa na watu kama hellen,David, Joy , Wambura, Dr.Malago na wengine .

Walikutana na Consul pale Utrecht Beatrix Theatre wakajadili na usema kwa kuwa hataki umoja huyu mzungu basi wawe na umoja wa kusaidiana ikitokea shida .

Hii ni bada ya watu na hasa wanafunzi kuwa wanafiwa nk na sisi kama watanzania tunajipiga kuwachangia na wanaenda nyumbani si kwamba hawana insurance hapana lakini kama Watanzania tunavyo ishi .Huyu Damian hata nane usiku anawapigia watu simu na kuandika kwa uwazi juu ya matukio ya majanga kama yanatokea .The man is a very hard working sana sana na anajituma mno kwa Ulaya mtu kuendesha gari toka Utrecht hadi The Hague kwa mambo ya kujitolea si mchezo maana ni km 80 ama 90 kwa ajili ya kujituma bila ya pesa ya Consul anatumia mafuta yake mwenyewe na muda wake leo ukija na beef hizi watu watakushangaa sana .

Damian an Mtajuka walipelekea kuanzishwa Account inaitwa Solidarity Fund .Ukitaka Bank Account nitakupa .Hili nami niliingia na kuchanga idogo maana niliona ni jambo jema .

Makubaliano yalikuwa hivi .

Consul akasema Watanzania tujipange tutoe kwa mwaka mzima 500 euro na wewe atakuwa anaongezea kila mwaka 1000 ili ku boost mfuko huu . Nakwambieni hadi sasa sijui kama mpango unaendelea maana watu wa aina Nabii walikuwa wanasema mimi siwezi kutoa euro 20 kwa kuwa nia insurance na sikai Holland .Huyu mzungu siku moja tukiwa katika sherehe pale Utrecht akasema kwa masikitiko kwamba anajaribu kutupa nguvu hatutaki lakini kasahau kwamba alikataa kuchangia Umoja uwe na nguvu na usimame.Ila alitaka kila kitu kuwa chini yake .

Nabii huyu Damian nadhani una chuki naye kwanza kwenye huo uongozi he gets nothing is hupoteza mida kutupa habari mbalimbali . Kila mtu anayemjua Damian anajua hayumbi na hayumbishwi .Mara kadhaa amekuwa anasigana na hata Ubalozi. Tunakumbuka wakati wa kubadili Pass zetu brussels walileta shida na yeye aliendesha gari kwenda huko na kugombana akaja akatupatia taarifa .Leo unasema anatakiwa aiitishe uchaguzi ? Na nani ? Kwanza ile netowork ambayo wewe na mimi tumo hatulipii na haina masharti. Naona katibuni utasema huyu mwenye hii jambo naye atangaze mapato yake na aaitishe uongozi wakati tunaingia kwa hiari hapa .

nashauri matumizi mazuri ya mtandao na si fitina ambazo hazina maana .Damian ni kiungo sana sana kwa Watanzania wa Holland hana majungu wala makundi . Yeye maongezi yake huwa open kwenye network yetu . Kama wewe una hoja za msingi onyesha wapi watanzania wa Holland wameandika kwa uwazi kwamba wanataka uchaguzi na kuchagua nini na kwa ajili ya nini zaidi ya kuwa ni mtandao wa watanzania .

Kumekucha ilianzishwa na akina Engine Muragili na wengineo na akina Dr.Hashim wa mlimani kwa maana ya kwamba tuachane na jina wabongo tuwe na kitu cha maana na mtandao uwe wa kutupa habari .Je ni kosa kwa Damian kuitwa contact person?

Najua unajua kuandika sana na ni fundi kweli kweli. Nakumbuka siku moja tukiwa na sikukuu ya Mwalimu yaani kumbukumbu ulikazana kusema unataka kujuan pesa anazotoa consul zinatoka wapi .Damian alikujiu hivi . Tuite mkutano lakini kwenye sherehe hizi huwezi kuuliza maswali kwa kuwa watu wana shauku ya kuonana na kuongea .Ulikazania lakini kabla ya wau kuulizana maswali watu walifika a kuanza kunywa na kazi ikawa imeanzia hapo .

Nawaambieni hatuwahi kuwa mkutano wa maongezi wana jambo . Kila siku tukikutana huwa ni function na watu kujuana na kunywa na kula wanaondoka. Je ukienda kwenye harusi unafika unaanza kuhoji mamo ambayo wewe yanakusumbua ama unatafuta mahali muafaka unauliza ?

Mimi nimesema mengi kwa kuwa hujamtendea haki jamaa kwa maneno yako na kumkatisha tamaa . Wewe hujawahi kusimama na kufanya kwa kujituma kama anavyo fanya jamaa mbali ya kuwa DJ kila mara .

Nakushauri sasa urudi kwenye ukumbi wetu wa watu wa Holland uandike haya na useme unataka kuchaguzi wa Umoja . Hakuna umoja ila kuna networking ambayo Damian kweli anaisimamia .Kama wewe ni mkweli nangoja uandike kule haya uliyo yasema hapa kwa jina lako sahihi wacha hapa unajificha .Damian ni mtu una mahusiano naye sana lakini leo kuja kumsema hapa nakataa kwamba ni unafiki na kazi yake ya kuwaunganisha watanzania ni kubwa na nzuri .

Yeye kupewa taarifa za matukio nadhani kuna ndugu Lunyungu kasema vyema .Matatizo ya Consul si ya Damian tunayajua sote na tumesha sema hata mbele ya Rais pale The Hague majibu yake kila mmoja aliyasikia .

Sasa tafadhali sema shida yako na Damian ni ipi na network ya watanzania si umoja ule maana walio wengi ni wanafunzi ambao hawana muda wa kuunda umoja .

Asanteni sana yangu ni haya .Ila Nabii waeleze watu kwamba kuna barua Damian kamwandikia balozi ni kali sana kuhusiana na kuairisha kwake kukuonyesha kwamba hana connection na mambo unayo yasema na yule ndiye damian ambaye huwa anasema bila kujali na hasa mambo yakiwa mambo . Tumemuona katika matukio mengi ila kama wewe una shida naye sawa.

Madai yako kwa mzungu huyu nawaachia wengine ila mimi nasema haya maana .Unataka Accountability yake kwa nani ? Yeye anauza visa na mambo mengine kama ya utalii anatumia pesa za visa kutengeneza makaratasi na dvd na CD rom nk za utalii Tanzania .mahesabu yake na kila anawajibika ama Bruessels ama kama ni pesa na Visa hazina na labda mambo ya nje . Je umefika huko kuhoji ama umeona uje hapa kuleta fitina ?

nakungoja uje kwa wabongo ulete haya madai kwa jina lako wacha hapa unajicha.
 
Jamani huyu jamaa anaye laaniwa hapa na Nabii oneni jinsi alivyo pigana baada ya balozi kuahirisha kukutana naye . Hawa ndiyo watanzania wanao fanya naye kazi yaani wako Holland wameandika hii in support.Hapa katajwa kama Katibu .Hii barua nimeitoa katika mtandao wa wabongo wa Holland linganisheni na shutuma za Nabii



Wabongo Sisters and Brother
I'm absolutely disappointed which is beyond the words with our Ambassador who does not honor his words and who seems to be not serious at all. What is a logic of asking Watanzania to set a side the time to meet him and here in between he can celled the promise of meeting us after being informed by the State House that the President official tour is can celled.Why does he behaves like this to us? I guess may be the President demanded to meet with Watanzania that is why immediately he communicated with katibu asking him to org anise one meeting prior the President official tour here. What did exactly Balozi wanted to tell us? this is my question. I think he knew very well that people are so furious with his behavior of not cooperate with us in many occasions. I think huyu ni Balozi jina tuu. im very much worried kama hizo defenses anazotoa kama zina matiki
I'm so delighted for the one who wrote him of course a touching letter expressing our disappointments show how weak he is especially in lacking of confident to face his People. I know people were more than prepared to ask him hard questions that is why he adjourned to meet with us ,However of many good efforts made by our katibu to get in touch with us via this Mtandao.What the balozi did is what many leaders do today in our Country. once they are being notified that the President will come at they working areas they try to cover alot of weakness .Will we make it really if this how we are?
I wish to know the duties of Balozi and i will seek for those duties as soon as possible because i don't understand him completely when he says that he still not allowed to meet us . I need to know where that restriction which makes him not be able to meet us comes from.
I think we should not remain silent but rather to let President know that our balozi hana ushirikiano nasi and he seems to be less interested with us and we are in the Netherlands as if we don't have Balozi .Kitendo cha kutuambia tujiandae kumwona na later aseme no no more meeting it appears o me as KUSANIFIANA.
I fondly hope that God is not Athumani one day our President will like again to come in Holland and meet with Wabongo if it happens i would like everyone to use that high time to tell him in black and white about this balozi.and if possible we can look for an alternatives to write a letter in his his office complaining about this Ambassador.Its my my views .Which might be correct or not correct because i think remain silent is a big betrayal
Otherwise i wish all of you longevity


James. W. Sillas
 
Hapa wabongo wa Holland wanazidi kukubali kazi ya Damian jamani mimi nataka sasa muone maneno ya Nabii kama kweli huyu mtu anachukiwa anajipendeza .Naweza comment za wengine na barua ya Damian kwa Balozi Mlay


Vizuri...kijana wetu,kaka yetu Damiani kwa up to date na kujituma....
Dr.Chirangi( Junior)Bwire
Maastricht


On 07/01/2008, Edmund John wrote:
Big up Damian, hiyo inajitosheleza kabisa hiyo ndio namna ya kufanya kazi nawatu kama hawa

Damian George

Bwana John kabla hujasema haya nimemesha mwandikia barua mapema leo na kumweleza haya . Najua yatamchoma lakini soma nilicho kisema .


Re: Kuahirisha kuja kuonana na Watanzania
Dear Balozi Mlay
Heri ya Mwaka Mpya na watumishi wote wa Ubalozi hapo Brussels
Baada ya hapo napenda kukupa malalamiko ambayo nadhani yana make sense kwamba baada ya kuonekana Rais hatafanya ziara tena Uholanzi na wewe umevunja safari ya kuonana na Watanzania . Nimesikitika na tumesikitika sana . Ninazidi kupokea mails za maelezo ya kusikitisha maana watanzania wa Holland they feel very much left alone . Wana ongelea historia ya wewe kujali na hata kupata wasaa wa kuja kusema nao . Watanzania hawa wana maswali yao na wana hamu ya kukutana nawe na kubadilishan mawazo na walidhani sasa angalau Rais anakuja nawe umeomba muda wa kuja kuonana mapema ungewasikiliza na wao .

Wanashangaa kwamba mara ya mwisho ulikuja kuonana nao kwa kuwa Rais Mkapa alikuwa anakuja ndipo ulipokuja na wakati ulisema huna kibali bado cha kufanya kazi hadi huku na kuja mahali kama kuhudhuria matukio ya Watanzania .Lakini wanajiuliza je ni kweli hujapata? Na kama umepata kwa nini ungoje Rais aje ndipo uanze kututafuta .

Mimi kama kiongozi wako nitakuwa mkweli daima kwako . Nina wakilisha na hivyo nami nasema nimeshangazwa sana na habari hii ya wewe kuacha kuja kwa kuwa Rais haji tena Holland . Je akiwa anataka kuja ina maana utatupa taarifa ya kukutana nasi ?

In general we feel used kwamba mabalozi watafanya haya kumuonyesha Rais kwamba mko karibu na watu kumbe mara nyingi balozi zinafanya kazi za kuzima moto ili bwana mkubwa apite .Nadhani si jambo jema sana kwa miaka hii na hasa kwa watu ambao wanategemea viongozi kuwa mbele na sisi nyuma .

Najua hii barua inaweza kuwa chungu kiasi na kwa kuwa mimi sijasomea uandishi ndiyo maana nasema jambo hili jinsi lilivyo na watu wanavyo lalamika hapa . Wana mawazo ya kuto ikitikia mwito wakati mwingine hata Rais atakuwa anakuja maana hawaoni umuhimu wa kukuona wakati tu kuna kazi ila baada ya hapo wana achwa wenyewe kufana mambo yao.Wanauliza je hadi sasa hujapewa kibali ? Hujapeleka utambulisho kwa Queen kwamba wewe ni Balozi wetu hapa ?

Majibu yako yatawafikia wote ili wajue kwamba wakinituma mimi nafikisha ujumbe . Hiki ni kilio chao na wanaamini kwamba soon utakuwa na ziara ya kuja kusema nao maana wana mambo ya kutaka kujadiliana na wewe .

Damian
Katibu wa muda wa Watanzania
 
Hii ni mail kama ushahidi kwamba watu wana appreciate kazi za kujituma bwana Damian.

ushahidi huu tena na bado watu wanazidi kuandika .Yote haya yako kwenye mtandao wa wabongo Holland



Bwana Damian,
Napenda chukua nafasi hii kukushukuru kwa jitihada zako kumjulisha
Balozi wetu feelings za wanatanzania baada ya kuhairisha mkutano wa
kujinawisha kabla ya mkubwa. Tunategemea kusikia toka kwake soon.

Salamu kwa Watanzania wote.

Binga.
 
Mie sasa namshangaa huyu Nabii, ni Nabii gani huyu mbaguzi wa rangi? Jamani, mzungu kuwa konsela wa tanzania kuna kosa gani? Mbona Oman tulikuwa na konsela mwarabu, mmanga, muomani ambae alizaliwa bukoba na akaukana uraia alipofika oman, na aliwakilisha vizuri tuu. mavi-sa na mammbo mengi alikuwa akifanya na hakuna malalamiko yoyote. Mpaka mzee ruksa (rais Ali Hassan Mwinyi) akapiga goti kumkabidhi binti yake.

Hili Nabii linaonesha ni wale wanga, wanaochukia mtu bila sababu maalum. Sijui uliona post yangu hapo juu, nilisema ni nani mwenye kuweza kuwa na siri kubwa kubwa, ni mzungu huyo wa holland au yule mama mzungu aliekuwa Ikulu, ofisi ya mkuu Nyerere tene ni personal secretary wa Nyerere Mwenyewe na masafari kibao ya kitaifa na ki-bafsi alikuwa akifatana nae (mama Maria alikuwa na moyo kweli, namsifu), sasa kuna siri gani ya taifa ambayo wazungu hawaijui? na huyo mama ndio alikuwa "jikoni".

Nabii wacha roho ya korosho, yaani unamuona mzungu anafaidi wakati anatowa huduma ambayo nina uhakika anaitowa vizuri kuliko ungepewa wewe huo u-konsela, maana inaonyesha una chuki mbaya sana ya kuona wivu na uchungu na kuunguwa roho na kusugulika. Mijitu kama wewe ndio mnarudisha nyuma maendeleo ya wenzenu, kwa chuki tuu. Mie nnauhakika wewe ni Mwanga, mchawi mkubwa wee! na kama si mwanga basi unatoka kwenye ukoo wa wanga.

Jamani, system ni ileile au hajui system ni nini?
 
ni kawaida sana kwa nchi kuwa na mwakilishi wa heshima ..hasa kwenye yale maeneo ambako nchi yetu haina ubalozi wa kuduma..mfano balozi wetu ujerumani anaangalia hadi holand na maeneo ya jirani..nafikiri ni ALI KARUME..so kama case iko hivo hakuna ajabu..au ni local staff...au ni mtanzania mwenye asili ya uzungu pi...sawa..unless si mmoja kati ya hiyo....
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom