nashauri somo la Ujasiriamali lifundishwe Sekondari ili kuondoa upofu mkubwa kwa vijana wetu.
Waliosema TIME IS MONEY hawakukosea.
Mleta mada JIPANGE kuitumia hiyo miezi kwa faida.
Vijana wa siku hizi bwana mmekuwa legelege sana halafu wabinafsi, kupewa likizo mnalalamika kama ni adhabu wakati mkikosa nafasi ya vyuoni mnalialia. Mnataka mfanyiwe nini hasa? Je mngeambiwa lazima mpoteze mwaka mzima geshini before kuingia chuo kama enzi za zamani si mngetamani kuzikwa? Shukuru kwa kupata nafasi na ujishughulishe! Utaumia kijana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.