Ndugu wana JF Harakati za ukombozi wa kweli wa mwananchi wa Tanzania unaendelea kwa kasi katika sector ya vyuo vikuu, Sasa ni zamu ya mzumbe ambapo hatua za kufungua tawi zipo mwishoni, Ndani ya wiki chache zijazo tawi litaanza kufanya kazi,
wakimaliza vyuoni waende vijijini sasa kuwaelimisha wananchi. kuna sehemu watu bado hajui kuna chama kingine na ndipo wanapopigia bao ccm hapo. cdm wanatakiwa wafanye kazi sana kuelekea 2015
Hakuna kulala hadi kieleweke, wao CCM wana matawi hadi magengeni. Tuelimishane na moto huo usambae zaidi mpaka ibilisi CCM aangamie na kutokomezwa:tongue::tongue:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.