Mzumbe dons in PhD scam

Mzalendohalisi:


Wewe sio educator na sababu unazotoa zinaboronga. Kwa maendeleo ya automation yaliopo sasa vyuo vya ufundi wa kati havina tena mpango.

Hata hayo mapinduzi ya kilimo unachosema wewe hayaji kwa kuanziswa shule za VETA. Kumbuka kuwa kila wilaya ilikuwa na shule ya sekondari ya kilimo na vyuo kibao vya maafisa kilimo wa ngazi mbalimbali na bado output ya mavuno kwa heka moja kwa Tanzania ni ndogo sana hata kwa kulinganisha na nchi za kiAfrika.

Nchi zinazoendelea zimehamua kufuata R&D (Research and Development) approach. Vichwa vinafanya kazi (R&D) na baadaye instructions zinapewa kwa watu wanaofanya production kufuatwa. Mtu yoyote mwenye akili timamu akipewa masharti ya kupanda mpunga atafuata na hakuna sababu ya kumpeleka chuo miaka mingi.

Kwa mtaji wa niliyoyasema vyuo vikuu ni muhimu. Na kama tunataka middle level, hicho ni kitu rahisi sana. Tuanzishe system ya entry level. Mtu yoyote anayemaliza chuo kikuu basi afanze kazi kama entry level kwa muda wa zaidi ya miaka miwili. Na kutokana na juhudi zake za kazi basi middle na senior level zifuate.

Hule utaratibu wa kuwa mtu ametoka chuo kikuu basi anakuwa Injinia umeharibu sana ufanisi wa makazi. Watu wengi wana akili za kufaulu mitihani lakini ni mabox kwenye kazi.

Papa Zakumi!

Ahsante! Je dawa ni kuachia free market? 80% wasome Ngiwini???

Siafikiani na hili!
 
Mjadala kuhusu elimu ya vyuo vikuu ni muhimu. Ila inaonekana hatuna focus (kama ilivyo katika masuala mengine ya kitaifa).

Hivi pamoja na uchache wa vyuo vikuu tulivyonavyo, inaaminika na baadhi yetu kwamba kuna wanafunzi vilaza wanapata nafasi chuo kikuu! Je ikiwa tutaongeza vyuo vikuu kama ilivyo majuu, si ndio tutazalisha vihiyo watupu?

Zamani enzi zetu, tukiwa primary school, miaka ya 70 katikati, utakuta shule inatoa mtoto mmoja tu kufaulu, tena pengine baada ya kupita miaka kadhaa. Sijui wale wasiofaulu walikuwa vilaza?

Kuna baadhi ya nchi ulaya, hawana mtihani wa kumaliza darasa la saba. Wote waenda sekondari. Hata O level hakuna mitihani ya kufaulu kwenda A level au kufeli. Ila kuna kuangalia maendeleo ya mtu na kumpa combi inayomfaa high school.

Sijui kama nimeeleweka? (Nimeacha pembeni mjadala wa hao wenye PhD za mashaka)
 
Ndio maara kuna boom ya kupeleka watoto Maleysia...Vyuo vikuu vya Tanzania ni 0.. I mean Zero. I don't care umesoma wapi in Tanzania.

ndio maana waajiri wengi wanao kuja kutoka nje (FDI) wanaona ni bora watume watu USA and UK kuja kurecrute Watanzania. Sababu kisomo chetu Tanzania bado ni ubabaishaji.
 
ndio maara kuna boom ya kupeleka watoto maleysia...vyuo vikuu vya tanzania ni 0.. I mean zero. I don't care umesoma wapi in tanzania.

Ndio maana waajiri wengi wanao kuja kutoka nje (fdi) wanaona ni bora watume watu usa and uk kuja kurecrute watanzania. Sababu kisomo chetu tanzania bado ni ubabaishaji.

cha kushangaza hata viongozi wetu wakuu kabisa wana mawazo haya!
 
na ndio maana tumekata tamaa na elimu tulionayo, huku tukifikiri eli kusoma ulaya kuliko afrika/ tanzania kana kwamba vyuo vya ulayailipanda chart mara moja.

we ona mjadala ulivyojaa usimba na uyanga, I meani UUDSM na UMU. hivi kweli tufikiri mtu anayesoma ulaya na kufanya utafiti wa kule at all times anaweza kuratibu maendeleo ya Tz kama ilivyo mtu aliyefanyia hapa. no way

tubadirike, tuache fitina, tuache uzandiki maendeleo ya chuo kama ilivyo ya nchi hayaji kwa siku moja. even Rome with its beauty was not built in a single day.

Vyuo vkianzishwa tuviencourage, tutoe maawazo ya kujenga, shukrani kwa wale wanaofanya hivi. mawazo ya kinafiki ya kuanza kutukana watu eti sababu kaunga mkono upande mmoja si ya busara. hata Cambridge na Oxford au yale ni magiant ila bado inadhamini mchango wa vyuo vingine katika kuzarisha man power.

hata china one of the greatest power in the World inathamini na kuencourage Tanzania na hata kuitembelea ambayo ni one of the poorest nation in the World, kwa nini sisi. hata familia zetu hazilingani. hata mikoa yetu hailingani, makabila hyalingani, ila tunavumiliana.

kwanini isiwe hili?
 
cha kushangaza hata viongozi wetu wakuu kabisa wana mawazo haya!

Mkuu hapa tupo pamoja

Tena hata wakipata mafua tu wanakimbilia hospital za nje, South Africa, India, German, USA, UK n.k. Hii dhana potoshi kabisa, Kwa taarifa ni kwamba watanzania wengi wanatesa sana kwenye masomo huku abroad hasa kama amefanya undergrd bongo na kuja huku kwa masters au PhD. Tatizo ni kutokuthamini michango ya wazalendo kwani hata ukija kwenye tender wanaona wao gharama zao zipo chini ni kupunguza 30% yao, bora watumie 222billion kuliko 95billion.
 
Ndio maara kuna boom ya kupeleka watoto Maleysia...Vyuo vikuu vya Tanzania ni 0.. I mean Zero. I don't care umesoma wapi in Tanzania.

ndio maana waajiri wengi wanao kuja kutoka nje (FDI) wanaona ni bora watume watu USA and UK kuja kurecrute Watanzania. Sababu kisomo chetu Tanzania bado ni ubabaishaji.

Hao wanaorudi na degree zao za kubeba maboksi mbona tunabanana nao tu maofisini na hawana jipya? Acheni kudharau vyuo vyenu!

Unaweza kuniambia ni asailimia ngapi ya Watanzania wamesoma degree ya kwanza Tanzania kisha wakaenda nje ya nchi wakafeli kwenye Masters au Phd eti kwa kuwa elimu ya Tanzania ni zero kama unavyoiita? Kwa rekodi zangu binafsi hakuna hata mmoja, japo nawafahamu wachache!

Admission criteria za nchi kama Uganda hazitofautiana sana na zilizoko Malaysia kwenye vyuo vikuu! Ndio maana wale wanaopata Div 3 form six wanakimbilia huko kama baba zao wana pesa! Kwa kuwa Tanzania hawawezi ushindani wa kupata nafasi vyuoni!

Watu mkishafika Ulaya na Marekani basi kila kitu kilichopo Bongo mnataka kukitemea mate! Huo ni umasikini wa mawazo kama sio wa akili!
 
shabash! But this list i remember appearing in another defunct forum 3 years or so ago....and nothing much has been done. The government knows about this, there was a motion in parliament to go through the degrees of the waheshimiwa in 2006 but i think the speaker abandoned it as wengi wangeunguzwa.

Agustino lyatonga mrema is among one of them with a masters from these guys - wapo wengi tu hapa tz!

posting yangu imefutwa jamani na nilieleza kitu ambacho kimetokea leo KWENYE VYOMBO VYA HABARI, AU MPAKA TUWEKE HABARI ZA UZUSHI NDIO MODS WANAZIPA KIPAUMBELE? sick
 
This has gone just too far! Tumekuwa tukisikia wanagawa Masters and PhD kwa wanasiasa vihiyo, kumbe hata wahadhiri wenyewe wamenunua? Hii inatisha, nadhani kuna umuhimu wa chuo kizima kuchunguzwa.

Chuo gani sasa, PAcific Western UNiversity au Mzumbe?

Nionavyo mimi ni kuwa kuna umuhimu Hiyo IUCT iwe macho na degree za nje na ikiwezekana hiyo process nzima ya accreditation ya degree za nje ianze kuwa sereous. Kama uchunguzi wa institution ni muhimu basi ni institution zote sababu hatujui hizo degree za mtindo huo zimeenea kwa kiwango gani. Kumbuka hayo majina yaliyotolewa ni tu maarufu na kwa kuwa tu wamepitia Mzumbe.
 
Waliokutwa na vyeti haramu Mzumbe wavisafisha
Theopista Nsanzugwanko
Daily News; Monday,February 16, 2009 @20:11




Of all universities, including vyuo vyetu hapa Tanzania, kwa nini Chuo Kikuu Cha Malawi? Mbona naanza kuhisi kama kamchezo flani hivi kanaendelea



Binafsi sijaielewa hiyo sentensi, huo ni udanganyifu waliufanya na wanapaswa kuchukuliwa hatua za kisheria. 'KUTOTUMIKA kwenye shughuliza chuo ina maana wanaendelea kupata mshahara na marupurupu mengine huku wakiwa hata hawafundishi?


HAo jamaa kama ulivyosikia sio vilaza kama unavyofikiri na sio matapeli. Wana undergraduate qualification za kuaminika na wana masters degree za uhakika na kutoka kwenye vyuo vya uhakika. Ni kuwa tu hicho chuo walichosoma kina walakini. sasa kama unataka kutoa adhabu ni kwa hicho chuo cha PWU. Hao wahadhiri unachoweza kuwatendea ni kuwasaidia ili watimize nia yao ya kupata elimu na kuendelea kujenga TAIFA.

Chuo cha Malawi kama kina sifa WHY NOT?!
 
Yaani kuna watu nilisoma nao wakapata GPA ya lower 2nd they were so weak kitaaluma...you can imagine!

Nimekutana nao juzi wana masters za MU tayari...sasa sijui waliandikiwa au walitoa pesa..au ilikuwaje!

Nachokiona sii kazi kupata Masters ya MU!

Guys we thrieve for quality and we should not compromise it!

Inawezekana labda hata hizo masters wamepata lakini kwa GPA mbovu!
 
Wasi wasi unakuja pale...of all the universities around the world why Malawi for PhD?????

Kwani University of Malawi ina mapungufu gani? Nyie si mnataka wasome kwenye Universities zinazotambulika? Malawi is a recognised University, full stop!! And who knows, may be there was a budget coinstrant for them to join other Universities.

Au mnadhani wao hawapendi kusoma Havard au Oxford?
 
Kwani University of Malawi ina mapungufu gani? Nyie si mnataka wasome kwenye Universities zinazotambulika? Malawi is a recognised University, full stop!! And who knows, may be there was a budget coinstrant for them to join other Universities. Au mnadhani wao hawapendi kusoma Havard au Oxford?

Hapana mkuu, tungependa waalimu wasome reputable Universities si lazima Havard, Cambridge ama Oxford. Maana watoto wakifundishwa na waalimu vilaza itakuwa shida kwa taifa la baadaye. Sidhani kama kwenye ranking University of Malawi inakizidi chuo cha Dar es Salaam. Ninaangalia reputation tu mkuu....isije kuwa ni wale wale WPU...
 
Hapana mkuu, tungependa waalimu wasome reputable Universities si lazima Havard, Cambridge ama Oxford. Maana watoto wakifundishwa na waalimu vilaza itakuwa shida kwa taifa la baadaye. Sidhani kama kwenye ranking University of Malawi inakizidi chuo cha Dar es Salaam. Ninaangalia reputation tu mkuu....isije kuwa ni wale wale WPU...

Natumaini wasiwasi wako na Malawi hautokani na kasumba ya Ulaya ndio kuna Elimu na sio Afrika. Utashangaa ukifika chuo cha ulaya ukakuta Professor kutoka Malawi ndio anamwaga nyanga hapo
 
To substatiante my worries Malawi University rank 58 in Africa and in the world is number 6,704 whilst university of Dar es Salaam rank rank 18 and 3496 respectively. Sasa hawajamaa kukimbilia Malawi kuna sababu iwapo degree zao zinapatika UD, ama ndo kuogopa kuliwa vichwa

Source:


Hata ulaya ukimkuta mmatumbi ama Mkwere anamwaga nyanga, chuo kinafata ethics mazee hakuna kupeana wala kuoneana.

Masa

Natumaini wasiwasi wako na Malawi hautokani na kasumba ya Ulaya ndio kuna Elimu na sio Afrika. Utashangaa ukifika chuo cha ulaya ukakuta Professor kutoka Malawi ndio anamwaga nyanga hapo
 
Last edited:
Kwani University of Malawi ina mapungufu gani? Nyie si mnataka wasome kwenye Universities zinazotambulika? Malawi is a recognised University, full stop!! And who knows, may be there was a budget coinstrant for them to join other Universities.

Au mnadhani wao hawapendi kusoma Havard au Oxford?

Hahaha Masaki! I think wangeenda huko na kwingineko including za kwetu 'wangekamatwa' tu...
 
HAo jamaa kama ulivyosikia sio vilaza kama unavyofikiri na sio matapeli. Wana undergraduate qualification za kuaminika na wana masters degree za uhakika na kutoka kwenye vyuo vya uhakika. Ni kuwa tu hicho chuo walichosoma kina walakini. sasa kama unataka kutoa adhabu ni kwa hicho chuo cha PWU. Hao wahadhiri unachoweza kuwatendea ni kuwasaidia ili watimize nia yao ya kupata elimu na kuendelea kujenga TAIFA.

Chuo cha Malawi kama kina sifa WHY NOT?!


Mkuu, yaani kweli mtu ambaye ni mhadhiri kitaaluma anasoma degree za online na hata bila kuverify kama zinatambulika au la? kisha tunasema hawa sio matapeli? Sidhani. walitaka short cuts tu hakuna kingine, na ndipo utapeli unapoingia pia.

wao kama wanataaluma walitakiwa wawe mfano wa kutafuta uhalali wa hizo degree..ni mojawapo ya mambo wanayofundisha jamani, au tusema wanafundisha nini kama jambo dogo tu la kufanya cross-checking ya information ili kuzipa uhalali wanashindwa?
 
To substatiante my worries Malawi University rank 58 in Africa and in the world is number 6,7004 whilst university of Dar es Salaam rank rank 18 and 3496 respectively. Sasa hawajamaa kukimbilia Malawi kuna sababu iwapo degree zao zinapatika UD, ama ndo kuogopa kuliwa vichwa

Source:


Hata ulaya ukimkuta mmatumbi ama Mkwere anamwaga nyanga, chuo kinafata ethics mazee hakuna kupeana wala kuoneana.

Masa



Mkuu Masanilo, hapa tupo ukurasa mmoja,, exactly my point kwenye hii hoja mkuu!
 
Mkuu ulitaaka wasome nini?......nyie ndio wale mnaoongeza miaka ya kusoma na kufanya vijana wapate hela wakiwa wazee.....


Kwa sentensi yako hii, ndiyo ni moja ya mambo ya kujadikli, njia sahihi ya mtu kupitia kuwa Dr, au kuchkua degree, wakati kija wa miaka 22 Ulaya amemaliza degree, kijana wa miak 30 TZ anakimbizana na madarasa !

we have serious problem that we have adpted system that was meant for wakoloni, hatujabadilika, kuna wengine humu naona wamecrame tu, hakuna jipya, hata kama kuna silutiona au njia nzuri

Lets start from primary, vyuo hivi ni majaliwa , kwani ordinary education ndiyo inaoperate dunia kila siku. Hivi kusoma yale masomo ya darasa la tano sita na saba kwa kiswahili , halafu kurudia tena form one na two kwa kiingereza ni sawa??

Halafu wengi mnasahau chu zile ni kozi jamani siyo masomo kama ya form six, course was meant to train someone to work! sio kujaza course kwenye vyeti!
 
Back
Top Bottom