Mzumbe dons in PhD scam

Wana JF,

Ili swala la Phd feki nadhani lina maswali mengi sana.

1. Kama mtu ana Phd, au degree yoyote kwa kufoji that is very wrong. ila

2. Kwa mfano mtu anasema ana PhD, au degree kutoka chuo ambacho hakijawa accredited na board fulani au nchi fulani hapa kuna kasheshe kidogo.

Elimu ya Russia, canada, Japan, n.k kila watu wa nchi hizo wana standard zao. JE SISI WATANZANIA TUNAPOSEMA DEGREE FULANI IKO SHALLOW or whatever tunatumia standard gani??

kuna watu wanasoma Phd Miaka 7, kwingine miaka 4, kwingine miaka 2.5??? are they the same? arent all Drs'

someone help me, at least tungeonyesha uwezo na degree zetu nzuri, tunaosema wanavyuo visivyo na sifa ndio wengi walioendelea, hakina sie wenye vyuo vyenye sifa ndio tunaongoza kwa umaskini??

so kuwa na Phd, lazima uanze na degree ya kwanza, ya pili, ya tatu, who made these regulations, where? and why?? what if someone somewhere will decide to have their own ways??

Waberoya naomba nichangie hoja yako!

Ili swala la Phd feki nadhani lina maswali mengi sana.

1. Kama mtu ana Phd, au degree yoyote kwa kufoji that is very wrong. ila

2. Kwa mfano mtu anasema ana PhD, au degree kutoka chuo ambacho hakijawa accredited na board fulani au nchi fulani hapa kuna kasheshe kidogo.

Elimu ya Russia, canada, Japan, n.k kila watu wa nchi hizo wana standard zao. JE SISI WATANZANIA TUNAPOSEMA DEGREE FULANI IKO SHALLOW or whatever tunatumia standard gani??

Inaposemwa degree fulani iko shallow ni kutokana na accreditation ya nchi hiyo hiyo uliyosomea. Sasa kama wewe umesoma Urusi na Urusi huko huko chuo chako hakitambuliki kwa nini sisi tulazimike kukitambua? Kwa hiyo stds hata kama ni Angola wana bodi yao inayotambua vyuo vyao, Tanzania tunayo.
pia.



kuna watu wanasoma Phd Miaka 7, kwingine miaka 4, kwingine miaka 2.5??? are they the same? arent all Drs'

Length ya kusoma Phd inategemea mabo mengi cha kwanza ikiwa ni uwezo wako mwenyewe na sometimes relationship ya shughuli ulizokuwa ukifanya na hiyo Phd ( Hii inaweza kukusaidia kupata waiver),pili Type ya thesis/ dissertation yako. Tatu namna ya kufanya je unaifanya kwa research au coursework (Coursework inakuwa tayari ina prescribed minimum amount of study typically two to three years. Nne ushirikiano wa supervisor wako (This is very important - Na muda mwingi sana unaweza kupotea hapa - Je unapata the necessary support? Unaalign na wht the supvsr want? etc), Pia kuna suala zima la assessment, Lugha unayoitumia kama ni say kirusi na wewe hukijui ina maana kuna muda wa kujifunza lugha kwanza (Hii si part ya Phd)


someone help me, at least tungeonyesha uwezo na degree zetu nzuri, tunaosema wanavyuo visivyo na sifa ndio wengi walioendelea, hakina sie wenye vyuo vyenye sifa ndio tunaongoza kwa umaskini?? -

Hapa mkuu unakosea haimaanishi kila vyuo say Marekani havina sifa, na mind you hivi visivyo na sifa ni minute% maybe just 5% of the total registered. Na hakuna mtaalamu anayetoka kwenye vyuo visivyo na sifa kwani hataaminika. Mfano kampuni ya Samsung imeajiri Phd 1500. Do you think in those statistics kuna mtu aliyesoma chu kisicho na sifa au say hiyo PWU? Kwa hiyo basi sisi vyuo vyenye sifa tunavyo lakini very very few, Imagine up to I think 1998 we only had two (SUA and UDSM). Wenzetu wanavyo kibao vyenye sifa + the very very few visivyo na sifa. Pia umasikini wetu si suala la elimu darasa pekee bali kuna alot of other factors like lack of leadership, Lack of role models, Lack of ethics, Ignorance etc.


so kuwa na Phd, lazima uanze na degree ya kwanza, ya pili, ya tatu, who made these regulations, where? and why?? what if someone somewhere will decide to have their own ways?

Sasa hii inategemea na kila nchi, sehemu n.k na utaratibu uliotaja hapo juu is mainly Anglophone lakini kumbuka hata zile non-english speaking country zimeuadopt au kuanza utaratibu huo. Hizi regulations/ taratibu whtver zilikuwa made na previous scholars kulingana na matakwa ya wakati huo, na mahali hapo. Na hakuna anayekataza to have yours in your ways. Sisi tukiamua Tanzania kuanzisha kasistim ketu na kusema ukimaliza form four basi hiyo say ni undergraduate degree , form six ni masters na undergraduate deg ni phd is ok. Ila haka kautaratibu katakuwa ni ketu. We ca n even go higher than that. Lakini je do we have the resources kuafford that?
 
Waliodanganya washushwe cheo au wafukuzwe kazi!

Kwani sheria ya Elimu ya Juu inasemaje?

Ni dhambi kubwa kulea uzembe Elimu ya Juu popote pale duniani!

In short hatuna justification ktk arguments zetu...sasa kama mtu ana ana PhD feki..

Wanaotetea wanatetea kitu gani?

You do not have any moral academic authority!
 
Last edited:
Waliodanganya washushwe cheo au wafukuzwe kazi!

Ni dhambi kubwa kulea uzembe Elimu ya Juu popote pale duniani!

In short hatuna justification ktk arguments zetu...sasa kama mtu ana PhD feki..

Wanaotetea wanatetea kitu gani?

You do not have any moral academic authority!

I CONCUR! Ukiwa na Vce Chancellor Kihiyo basi tutegemee multiplication ya vihiyo hapo Mzumbe.
Result half cooked or complitely uncooked personnel with big titles.
 
Waberoya naomba nichangie hoja yako!

Ili swala la Phd feki nadhani lina maswali mengi sana.

1. Kama mtu ana Phd, au degree yoyote kwa kufoji that is very wrong. ila

2. Kwa mfano mtu anasema ana PhD, au degree kutoka chuo ambacho hakijawa accredited na board fulani au nchi fulani hapa kuna kasheshe kidogo.

Elimu ya Russia, canada, Japan, n.k kila watu wa nchi hizo wana standard zao. JE SISI WATANZANIA TUNAPOSEMA DEGREE FULANI IKO SHALLOW or whatever tunatumia standard gani??

Inaposemwa degree fulani iko shallow ni kutokana na accreditation ya nchi hiyo hiyo uliyosomea. Sasa kama wewe umesoma Urusi na Urusi huko huko chuo chako hakitambuliki kwa nini sisi tulazimike kukitambua? Kwa hiyo stds hata kama ni Angola wana bodi yao inayotambua vyuo vyao, Tanzania tunayo.
pia.



kuna watu wanasoma Phd Miaka 7, kwingine miaka 4, kwingine miaka 2.5??? are they the same? arent all Drs'

Length ya kusoma Phd inategemea mabo mengi cha kwanza ikiwa ni uwezo wako mwenyewe na sometimes relationship ya shughuli ulizokuwa ukifanya na hiyo Phd ( Hii inaweza kukusaidia kupata waiver),pili Type ya thesis/ dissertation yako. Tatu namna ya kufanya je unaifanya kwa research au coursework (Coursework inakuwa tayari ina prescribed minimum amount of study typically two to three years. Nne ushirikiano wa supervisor wako (This is very important - Na muda mwingi sana unaweza kupotea hapa - Je unapata the necessary support? Unaalign na wht the supvsr want? etc), Pia kuna suala zima la assessment, Lugha unayoitumia kama ni say kirusi na wewe hukijui ina maana kuna muda wa kujifunza lugha kwanza (Hii si part ya Phd)


someone help me, at least tungeonyesha uwezo na degree zetu nzuri, tunaosema wanavyuo visivyo na sifa ndio wengi walioendelea, hakina sie wenye vyuo vyenye sifa ndio tunaongoza kwa umaskini?? -

Hapa mkuu unakosea haimaanishi kila vyuo say Marekani havina sifa, na mind you hivi visivyo na sifa ni minute% maybe just 5% of the total registered. Na hakuna mtaalamu anayetoka kwenye vyuo visivyo na sifa kwani hataaminika. Mfano kampuni ya Samsung imeajiri Phd 1500. Do you think in those statistics kuna mtu aliyesoma chu kisicho na sifa au say hiyo PWU? Kwa hiyo basi sisi vyuo vyenye sifa tunavyo lakini very very few, Imagine up to I think 1998 we only had two (SUA and UDSM). Wenzetu wanavyo kibao vyenye sifa + the very very few visivyo na sifa. Pia umasikini wetu si suala la elimu darasa pekee bali kuna alot of other factors like lack of leadership, Lack of role models, Lack of ethics, Ignorance etc.


so kuwa na Phd, lazima uanze na degree ya kwanza, ya pili, ya tatu, who made these regulations, where? and why?? what if someone somewhere will decide to have their own ways?

Sasa hii inategemea na kila nchi, sehemu n.k na utaratibu uliotaja hapo juu is mainly Anglophone lakini kumbuka hata zile non-english speaking country zimeuadopt au kuanza utaratibu huo. Hizi regulations/ taratibu whtver zilikuwa made na previous scholars kulingana na matakwa ya wakati huo, na mahali hapo. Na hakuna anayekataza to have yours in your ways. Sisi tukiamua Tanzania kuanzisha kasistim ketu na kusema ukimaliza form four basi hiyo say ni undergraduate degree , form six ni masters na undergraduate deg ni phd is ok. Ila haka kautaratibu katakuwa ni ketu. We ca n even go higher than that. Lakini je do we have the resources kuafford that?

Asante sana kaka, while preparing another long overview on this issue, kuna mtu anaweza kupata standard yetu?? kuwa mtu wa PhD au amastres wafanye nini?? from there nina very very critical argument hapa na ninaweza kusemea JF tu maan kuna critical thinkers

je kuna mtu ana standard please??
 
Nakubaliana na wakuu wanao tetea kwa kusema jamaa degree zao za mwanzo ni za uhakika sababu zimetota UDSM au western Countries, sawa, lakini unapokuwa lecturer halafu hufahamu kuwa unasoma chuo/taasisi ambayo haukubaliki ni jambo gumu kidogo kuingia akilini.
Pia hao jamaa watakuwa wametumia pesa ya chuo ambacho ni cha serikali, sasa hiyo wizara ya elimu ya juu inafanya kazi gani, ikiwa inashindwa kutambua vyuo feki ambavyo lecturers wanasoma, vipi vyuo inavyo simamia vipo katika viwango vya kuzisha?! au ndiyo bola lienda, mkigoma mkiangia darasi kazi kwenu sisi tumesoma buree na mshahara tulipwa kwa kudhulia kazini na si kwakufanya kazi.
Kama wangekuwa wamelipa wenyewe gharama za chuo tungesema wanabana matumizi, lakini pesa si yao, eti tunambiwa kuwa jamaa ni watafiti!!!!!!!!!! huu ni upuzi kabisa ukiwa umeshindwa kutafiti quality ya chuo unachota kusoma vipi research yako uliyo ifanya (Phd) tena kwa zima moto? Wanatakiwa wamlipe muajili wao pesa waliyo ipoteza.
Bongo mwisho maana ukiwa kiongozi huwi wapi uanzie!
 
Naomba mtu anisaidie hapa, je ONLINE DEGREES ZINA TATIZO??


Generally online degrees zilianzishwa kama njia ya kurahisisha distance education. Tatizo linakuja pale ambapo degree inatolewa huku assesment, mitihani vyote vikiwa online na bila controlled usimamizi. Simple how do we know kama say huo mtihani ulifanyiwa na mtu mwingine.

Tatizo la online degrees lipo huko huko kwenye hivyo vyuo visivyo na sifa. Maana wao mainly wanachojali ni hela tu. Lakini ukienroll say London school of finance kwa online degree ni kwamba material ya kusoma utaletewa online, na vitu kama Quiz etc. Lakini inapokuja suala la mtihani ni lazima utakuwa chini ya proper usimamizi kuhakikisha kwamba hau-cheat. This is usually done to some recognized centres like the British council etc.
 
ukipata nafasi ya kufika Mzumbe na kupata vijimambo vinavyoendelea pale,utachoka!! anyway,nashauri TCU ifanye accreditation ya JAMIIFORUMS kiwe online degrees, yanayoongelewa humu ni zaidi ya PhDs na hata vikao vya cabinet!! teh! teh!
 
Mimi kwa kweli nimekosa amani kwa kitendo cha serikali kumuajiri VC katika higher learning institution kama Mzumbe na mwenye Phd ya kizushi. Manake kama yeye angekuwa na Phd ya uhakika sidhani kama ange-authorise lecturers wa chuo hiki kwenda kubeba the same mzoga. Kwa upande mwingine mimi nachukulia kuwa kuchaguliwa kwa ma-VC hapa Tz kumegeuzwa kuwa siasa sana kuliko competence. Nowadays it depends on how close you are kwa Rais na wapambe & mtandao wake. Hebu tuangalie Mlimani (UDSM), Mukandala ni wazi kabisa, ukaribu wake na JK ndio ulimpa u-VC and nothing else. Na ndio maana hata leo tunaona maamuzi yake ambayo mimi nayaita ya kishenzi na tunaona jinsi ambavyo serikali inakubaliana naye kwa kiasi kikubwa hadi bungeni just because ni kijana wa Mzee.

Mlimani palikuwa pazuri sana miaka ya nyuma lakini huko tuendako, nahisi kutaanza kuwa na sampuli kama hizi za Mzumbe. Nakumbuka miaka hiyo, kuna jamaa mmoja anaitwa Baisi alienda kusoma nje ya nchi, ambapo yeye ujanja ujanja wake ukamtuma kwenda kwenye kachuo cha uswazi huko majuu na kuchukua Phd. Alipoileta hapa bongo, wazee wenye mvi zao pale Mlimani wakamwambia kijana usilete chai hapa, you will remain kuitwa Mr. mpaka tukuverify kuwa Dr. yaani kwa maana nyingine apigwe check up (including paper n.k.) ndio wazee hawa wamkubali. But hii iliwezekana kwa kuwa wa juu yake walikuwa wamekamua vitu toka kwenye vyuo vya heshima.

So tunaweza kuona umuhimu wa VC's wakiwa competent, yaani hata maamuzi yanakuwa yanatia hamasa.

Kwa upande mwingine, kinachonikera ni hizi Phd siku hz za Heshima. Mimi nafikiri hz pia ziwe zinatolewa kwa kuangalia education background. Hebu tuangalie kama Karume wa Znz, huyu jamaa hata shule ya 1+1 ilimshinda akakimbia, na ujanja ujanja plus ujinga wa kuenzi wazee waliokufa, akapata uraisi. Leo kachuo sijui cha wapi, kinambatiza u-Dr. Kwa kweli hili limenikera. Mtu hata Certificate achilia Diploma na Adv. Diploma mnazobishania, hana, then anaitwa Dr. Karume, huu ni ushenzi kabisa na unashusha hamu ya wa Tanzania kusoma. Manake mwingine anakamua Miaka 3-4 ya digrii ya kwanza, then 2 ya Masters and then 3-6 ya Phd, halafu leo wakisimama kwenye jukwaa na Karume ambaye hata kirefu cha Phd hakijui, wote wanaitwa Dr....
 
Jamani mimi sijua kama nitakuwa nadakia jambo nisilolijua vizuri ila kuhusu hali halisi la academics qualifications kuwa feki au laa serikali bado hajafanya jambo lolte to stop this. Hii inatokana na ukweli kuwa walio wengi na wenye madaraka nchi hii ni vihiyo sana kuna mwanaJF mmoja alipendekeza kuwe na database ya CV za wakuu wa taasisi za serikali na hata za private ili isaidie humu kujua ukweli na hatimaye kusaidia taifa.Alitoa mifano mingi kuwa kuna CEO wengi hawana hata degree achilia mbali masters or PhD kwa mfano alisema yule mkurugenzi mkuu wa TanROADS, idara ya bima,nk na leo hii mmeona MU ina kihiyo na bado kwani hata wa pale mjengoni (mtendaji) naye mhh sijui PhD kaokota wapi. Na vipi kuhusu wale lecturer wa pale UDSM waliosoma online Masters za Australia ni valid manake walizisoma kama miezi 4 tu wakamaliza....charity begins at home Nkunya,i have been there at UDSM na nilishuhudia baadhi wakikataliwa PhD zao na wengine wakipewa masters na PhD online. Nkunya atueleze pale UDSM hakuna hizo za online
?????Na kama zipo ni wangapi wamerudishwa shuleni? Na je anajua kuwa kuna watu ambao tunawafanyia na kuwakopia dissertation hasa wa MBA-UDSM??Its shame tena wanafanyiwa na watu wanaosoma sehemu kama TIA,CBE,IFM wizi mtupuuu
 
Naomba mtu anisaidie hapa, je ONLINE DEGREES ZINA TATIZO??
Jamani mimi sijua kama nitakuwa nadakia jambo nisilolijua vizuri ila kuhusu hali halisi la academics qualifications kuwa feki au laa serikali bado hajafanya jambo lolte to stop this. Hii inatokana na ukweli kuwa walio wengi na wenye madaraka nchi hii ni vihiyo sana kuna mwanaJF mmoja alipendekeza kuwe na database ya CV za wakuu wa taasisi za serikali na hata za private ili isaidie humu kujua ukweli na hatimaye kusaidia taifa.Alitoa mifano mingi kuwa kuna CEO wengi hawana hata degree achilia mbali masters or PhD kwa mfano alisema yule mkurugenzi mkuu wa TanROADS, idara ya bima,nk na leo hii mmeona MU ina kihiyo na bado kwani hata wa pale mjengoni (mtendaji) naye mhh sijui PhD kaokota wapi. Na vipi kuhusu wale lecturer wa pale UDSM waliosoma online Masters za Australia ni valid manake walizisoma kama miezi 4 tu wakamaliza....charity begins at home Nkunya,i have been there at UDSM na nilishuhudia baadhi wakikataliwa PhD zao na wengine wakipewa masters na PhD online. Nkunya atueleze pale UDSM hakuna hizo za online
?????Na kama zipo ni wangapi wamerudishwa shuleni? Na je anajua kuwa kuna watu ambao tunawafanyia na kuwakopia dissertation hasa wa MBA-UDSM??Its shame tena wanafanyiwa na watu wanaosoma sehemu kama TIA,CBE,IFM wizi mtupuuu
 
Generally online degrees zilianzishwa kama njia ya kurahisisha distance education. Tatizo linakuja pale ambapo degree inatolewa huku assesment, mitihani vyote vikiwa online na bila controlled usimamizi. Simple how do we know kama say huo mtihani ulifanyiwa na mtu mwingine.

Tatizo la online degrees lipo huko huko kwenye hivyo vyuo visivyo na sifa. Maana wao mainly wanachojali ni hela tu. Lakini ukienroll say London school of finance kwa online degree ni kwamba material ya kusoma utaletewa online, na vitu kama Quiz etc. Lakini inapokuja suala la mtihani ni lazima utakuwa chini ya proper usimamizi kuhakikisha kwamba hau-cheat. This is usually done to some recognized centres like the British council etc.

Kwa hiyo hapa anayedanganywa ni nani? mimi naona huyu anayefojifoji, au kusaidiwa mitihani ndiye anajidanganya, what makes some one to decide to study something?? nadhani lengo ni kufahamu, saa kama umejiandikisha online studies ya finance au whatever, lengo ili ujue then unadanganya! mimi naona tatizo ni mtu mwenyewe lakini si kuwa distance learning in matatizo.

So kutaka kuwa na cheti kizuri, titles, zimefanya (may be this online degree si nzuri kwa waafrika?? especially TZ,) kwa nini other races wanasoma vizuri na wanaendelea nazo, ??? ni kwa sababu hatuko honest?? what if then someone is honest?

So this way has go no problem at all, sipokuwa individual wasiotaka kuelewa mambo basi ndio hufanya ionekane sio nzuri. Tofauti ni kuwa wenzetu they meant kuelewa kitu fulani, sisi tunataka watu waviogope vyeti vyetu!!!

Hapo linakuja swali kwa Nkunya kuwa, this was SAHIHI KWA HAWA LECTURERS KUWA NA DEGREE ZA AINA HIZO, KWANI WATANZANIA WASOMI WENGI WALIPOPATA PhD, they have nothing more to add!

nadhani kungekuwa na products kutokana na walio na PhD, basi nature ingewaondoa. sijaona tofauti ya masters, Phd in TZ, la kama wapo wachache sana.

maadamu tunataka vyeti tu, basi no problem wako tayari hata kufoji kwenye hivyo vyuo ambavyo vinatambuliwa!

KWA NINI WATU WANAFOJI VYETI TZ?? kuna tatizo sehemu jamani
 
Waberoya naomba nichangie hoja yako! SIZE][/COLOR]


Nyambala asante kwa maelezo mazuri nimeuliza maswali haya kwani ninafahamu mifumo ya walimu walioko vyuoni


1. Tukubali kuwa tuna matatizo mengi, na dunia inatununua itakavyo, mfano

chuo kikuu kina ajiri TAs, then TAs wanapata scholarship za masters au Ass.lectures wanapata scholarship za PhD. vyuo mara zote nina hakika huwa hawafuatilii unaenda kusoma chuo gani na kina sifa gani. Kumbuka huyu mtu asipoongeza degree maana yake mshahara unabaki pale pale , kwa namna yoyoye lazima akasome. chuo (mfano mlimani)hakina utaratibu wa kusomesha staff wake KAMA WENGINE HAMJUI, HABARI NDIYO HIYO, chuo -mfano mlimani wanasomesha masters lakini hapohapo DSM. Hivyo katika hali ya kutapatapa wanakubali tu ukasome popote pale. hili ni tatizo na mfano huyo Nkunya alikuwa mlimani na kaondoka hawajaacha utaratibu wa kusomesha staff wake, staff wanajitafutia scholarship wenyewe.


2.Kuhusu kukubalika sehemu moja na kukataliwa sehemu nyingine pia kuna mfano Canada , hata usome chuo kizuri namna gani huko Asia kukuappreciate ni kazi sana, ninamfahamu professor aliyetoka russia na kuja kufundisha canada, ilibidi asome tena miaka minne!!!!! sounds unbeliavable lakini yanatokea chini ya jua hili. nikaja kujua kwa nini nchi zilizoendela hawakubali tu eti kwa sababu una PhD ya sehemu fulani, basin a wao wakutambue, labda for exceptional cases. Nilifuatilia kujua ni kwa nini nchi nyingi zilizoendela huwa hawazikubali degree za nchi nyingine, watakuhitaji au kukubali, wakitaka kukutumia, umeonyesha vitu adimu, au wako kwenye haja sana ya kutaka watu wawafanyie research, kumbuka nchi kama nyingi ulay wana uhaba sana wa vijana wao kusoma masomo ya sayansi. Hivyo nilipata jibu hili

3. Kwa nchi zozote zilizo makini PhD hazitakiwi kufanyika nje ya nchi yako!!!!!! PhD was meant to do research, that will develop your country, ni rahisi kukuta Dr, tanzania kafanya research za AEROSPACE ENGINEERING! na still ni Dr, na anafanya kazi TZ! ila alipata scholarship kama mtanzania mwingine, akaenda kufanya research kama mtumwa, baada ya kukutumikisha wanakurudisha, leo hii Hawafanyi RESEARCH ZOZOTE TZ, kwani walifanyika vyombo kuinua nchi zingine na sasa hawaoni cha kufanya TZ, hili ni swala la ndani ambalo may be TANZANIA UMEFIKA WAKATI TUSITAMBUE PhD za nje ya Tz!!!!!(???????) maana zilifanyika kuendeleza nchi zingine, wenzetu wanafanya hivyo, sasa umaskini wetu huu. Kama hatusomeshi wataalamu, hatuwatumii, hatuwatrack, hatuwaaprreciate basi tumeliwa, huu mjadala hauna mantiki. kwani tumeona, hata leo hii muulize NKUNYA, kasoma degree zote tatu TZ, research zake kafanya nini? Ziko wapi??


Mjadala huu uendane na kuuliza mapofessa wazuri kabisa wa vyuo vikuu bora kabisa wanafanya nini kuendeleza nchi yetu?? AU IMEBAKI STROY TU KUWA NILIPATA PHD -CAMBRIDGE AU HAVARD, then what?,

Hoja yangu kubwa ni kuwa kuna haja ya kuwa na mijadala ya kitaifa, au mfumo unaoeleweka kuhusu elimu na vyeti vyetu, ama sivyo ktk duni hii ya globalisation ni kazi sana. mbaya zaidi ni pale industry inaposifia product zinazotoka vyuo hivyo tunavyoona dhaifu-kama UCLAS, MZUMBE n,k something is wrong somewhere.

Vyuo vya UCLAS Na Mzumbe vimesifika kutoa wataalamu mpaka nje ya nchi, product za hivyo vyuo ndio zimejaa kusini mwa jangwa la sahara, simply ni kuwa

1. mitaala yao ni mizuri, na imekaa kulenga kumfanya mwanafunzi aelewe na awe competent-siyo kutishana na kuishi kwa madesa! kisa unagopa kudisco!
2. walimu na wanafunzi wako close sana, kwani vilipoanza walimu wengi walikuwa na masters, you know is easy kum-approach masters holder kuliko hawa maprofessa na Dr, wengi hawako karibu na wanafunzi.
3.walijiona dhaifu wakakubali na kupigana na hali hiyo.(hapa mtu anieleze aliyepata darja la kwanza kidato cha sita leo hii ni mhandisi wa umeme! lets compare their performance in real world!

I have graduated at UDSM, now I am teaching at the same place.
Nimeona hakuna watu walio proud kama graduates wa chuo kikuu mlimani, lakini pia hakuna remarkable contribution za product hizo ktk Tanzania, wengi waulize wanataja majina ya maprofesa wa zamani wengine marehemu(kimwili) wengine marehemu (academically). If you are real graduates wa UDSM unafanya nini sasa? je kazi inayoifanya is so special??je nikimwita mtu wa kidato cha sita nikamtrain kazi yako ataweza?? kama ataweza what makes you to be so special?? unafanya kitu gani now an then, or are we in the same boat as other colleges?

MAWAZO YANGU:

1. Kuwe na utaratibu wa kusajili wataalamu wetu, na kuangalia wanafanya nini kila mwaka! Kuwa na degree 3, ambazo hazimsaidii mtanzania wa Mpanda, Rungwe na bukoba na Mtwara, is non sense???
Bodi hii ya Nkunya, ipitie na iangalie ni wataalamu wangapi serikali inawaleta toka nje ya nchi, na ukweli kuwa wako hapa hapa TZ, na kazi wanaweza??

2. Kuwe na Link kati ya wataalamu na serikali,tafiti, planning na utekelezaji kama wataalamu wetu wa hapa TZ wataheshimika basi kazi wanapiga, hapa ielweke nina walaumu hawa mapofessa kwani ndio wana compromise na serikali katika ujinga mwingi sana.

3. Kinachoniumiza ni kuwa wale wataalamu tunaowaona dhaifu ndio wanatumiwa na nchi za nje, sisi hatujawatest! Tumeona tu vyeti na vyuo vyao basi tumewadharau, na HAPA LINAKUJA TATIZO KUWA , TZ ILI UISHI VIZURI NI UWE NA VYETI VIZURI NA SIO UNAFANYA NINI, hii kasumba mbaya ndio imepelekea watoto wetu kuiba mitihani, wanaenda kuajiriwa na makampuni makubwa wanapewa kazi duni, si ajabu kukuta injinia kuwa ni customer care CELTEL AU VODACOM.

4. DR, na Phd Tz ziwe Temporary!!!! Mtu akifanya vitu adimu na vyenye mchango basi ataendelea kuwa Dr, otherwise ananyimwa kuwa Dr, so wawe wanasajiriwa na kufuatiliwa ( it may sound weird) LAKINI AIBU HII YA KUWA NA MAPROFESSA KAMA MKANDALA, MSOLWA, NANI ANAIBEBA??? Mkandala angekuwa anasajiriwa na hiyo bodi yenu Nkunya mngeutangazia umma kuwa mmemfuta kuwa professa, SO WHO IS SUPERIOR HERE, VC WA MZUMBE AU VC WA MLIMANI??


Jamani tuamke, tusijisahau na kujina tunaishi karne ya 21!!! Bado hatujafika huko tunalazimishwa tu, we have to have our own systems, own plan, own standards, own system of education, own..........................................

Kusurf, kutuma e-mail, kwenda na kurudi toka marekani hakutufanyi tujione tumeendelea wakati 98% ya watanzania ni maskini wa kutupwa.

HAPA LENGO LANGU NI NKUNYA, ANGALIA PROFESSORS TULIONAO WANAFANYA NINI, NA JE WANATOA SABABU GANI ZA KUSHINDWA KUDELIVER?? HIVI UNAJUA KUWA SHULE ZETU ZA SPECIAL STUDENTS WENGI NDIO WAHANDISI WA UMEME?? Unaona hali ya umeme?? MKIWABANA WATAALAMU AO BASED ON WHAT ARE THEY DOING TO ADD VALUE IN HUMAN LIFE-TZ basi mmefika, kuhusu vyeti LEO HII KAMA UNATAKA SAINI YA OBAMA MBICHI NIAMBIE NITAKUPA, NIAMBIE KAMA UNATAKA SAINI YA KIKWETE, KAMA WATATAKA KUFOJI WATAFANYA TU NA HII IMESHINDIKANA SEHEMU NYINGI DUNIANI-waulize Nigeria. Wanafoji vyeti vyote, wameshindwa tu kufoji nakala za Mbinguni!
 
Mzumbe University is one of the weak University na hata ukiangalia wanafunzi weng ambao wamesoma Mzumbe wengi wao huwa incompetent.They have good Grades ila in terms of delivering is an Issue!

Kama Waziri Maghemebe anataka apwe Heshima aanze kuzinyoa hizi Ph.D feki na watu warudi Shule,Na naomba asiishie hapo aende mbele zaidi na kuangalia Ph.D za wabunge na viongzoi mbali mbali.

To mention but a few

1.Dr. Makongoro Mahanga
2.Dr. Nchimbi
3.Dr. Mary Nagu

the list goes on..Hivi hapa Jf kwanini tusianze kutoa Honary degree?Naamini tutakuwa na watu kama hawa

Dr. M.M Mwanakijiji
Dr. Gembe
Dr.FMES
Dr. Kichuguu


The list goes on

List ni ndefu, tukimaliza hiyo-inabidi tuelekee bungeni, kuona PhD holders ambao na wenyewe waliziokota PWU.
 
Kuna matatizo makubwa na system yetu ya usomi na mahitaji ya jumuia kuhusu elimu. Vyeti vimekuwa ndio msingi wa maamuzi ya kupata au kukosa kazi kwani ndicho kipimo kinachokubalika hasa endapo mwajiriwa si mfanyakazi wa ndani wa kampuni husika. Udhaifu uliopo ni ule wa kutotaka kufuatilia uhalisi wa vyeti hivyo na pengine sifa (accreditattion) za vyuo vinavyotoa vyeti. Tatizo hili linapoingia kwenye vyuo vya elimu ya juu ndipo uozo unapozidi, kwani hawa wanakila sababu na uwezo wa kudhibiti uhalali na sifa za vyuo. Kama hilo ni tatizo kama anavyosema Prof. Nkunya basi ni uozo wa system ya chuo husika , kwani huenda wote au walo na sauti wamo humo hivyo hawawezi kukemea.
Hoja yangu kubwa ni kuwa kuna haja ya kuwa na mijadala ya kitaifa, au mfumo unaoeleweka kuhusu elimu na vyeti vyetu, ama sivyo ktk duni hii ya globalisation ni kazi sana. mbaya zaidi ni pale industry inaposifia product zinazotoka vyuo hivyo tunavyoona dhaifu-kama UCLAS, MZUMBE n,k something is wrong somewhere
Kinachotakiwa ni hiyo taasisi ya TCU ifanye kazi bila kupendelea kwa kuanzia na kuhakiki vyeti vya walio kwenye vyuo vikuu kuwa si feki au kutoka kwenye vyuo vyenye utata
 
Back
Top Bottom