Mzuka wa ngomani!

Askari Kanzu

JF-Expert Member
Jan 7, 2011
4,598
1,233
Wakuu hii imekaaje. Watu wengine hawataki kuzeeka. Jamaa kajificha nyuma ya miwani ya jua (gugoz) alafu full mzuka umempanda. Hapa si ni sawa na kujitafutia matatizo?

418988_10100908473573528_644580256_n.jpg
 
Naona hata watu walokuepo wameshangaa na kuwaachia ukumbi!:A S 13:
 
Wanawake wengi wa kiafrika hupenda mababu maana wanategemea kurithi mali baada ya kumpandisha na kumshusha kibabu cha watu mara kadhaa! We angekuwa babu wa kibongo keshapigwa ngumi kadhaa za uso!
 
Ndo mjuage kuwa hawa watu weupe wanatakiwa kutupa heshima hata kwa mtutu ona sasa alivyotepeta yaan mpaka limezubaa coz hivyo vtu kwao hakunaga jamani!
 
Back
Top Bottom