Askari Kanzu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 4,598
- 1,233
Wakuu hii imekaaje. Watu wengine hawataki kuzeeka. Jamaa kajificha nyuma ya miwani ya jua (gugoz) alafu full mzuka umempanda. Hapa si ni sawa na kujitafutia matatizo?
Hakuna roho kongwe
dude linaita,
ila babu kwishne