BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,026
- 3,940
Utamzomeaje wakati amepata ubunge na TAKUKURU hawawezi kumgusa huku akipeta na mamilioni ya rada anayoyaita vijisenti. Yeye ndiye anayetuzomea wabongo na TAKUKURU yetu inayotumia kodi zetu, anatuona Wadanganyika kweli kweli. Na kwa makusudi alijua hatapata uspika ila alikuwa analemga kumchafulia 6. Amefaulu malengo na anatesa mfululizo wala siyo kwa zamu
Ni kweli kabisa yote uliyosema, lakini maadamu tumemshindwa kwenye yote hayo, basi tufanye lile ambalo lipo kwenye uwezo wetu....HHIIILLOOOOOOOOO!!!:brick: ound: