Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,458
Nilipokuwa kijana, nilisikia watu wakisema (kipindi kile cha utawala wa mwinyi) kuwa mwinyi ameuza mbuga ya LOLIONDO. hadi leo hii sielewi kama ni kweli au la. kuna miaka ya hivi karibuni, hapa jf mtu aliweka picha za waarabu wengi wanafanya pikiniki kule loliondo na kuifanya kama ile loliondo ni mbuga yao, bila shaka yule alikuwa mtoto wa mfalme wa saudi kama sikosei...naombeni mwenye ufafanuzi kamili aniambie, hivi ukweli ni upi kuhusu Loliondo, na wale waliofika pale, ni mbuga au ni pori la hifadhi tu, na je, ni kweli mwinyi aliuza kwa watu binafsi ile mbuga au alibinafsisha au alifanya nini, na je, wale waarabu wanaokujaga kufanya pikiniki kule ndo hao walionunua au ni wengine..
NB; by specifying race here, sina maana ya kuwanyanyapaa wawekezaji wasitoke uarabuni, tz tunahitaji uwekezaji toka dunia nzima hata zimbabwe kama wanaweza...nataka kujua ukweli tu. asante.
NB; by specifying race here, sina maana ya kuwanyanyapaa wawekezaji wasitoke uarabuni, tz tunahitaji uwekezaji toka dunia nzima hata zimbabwe kama wanaweza...nataka kujua ukweli tu. asante.